Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Basi utakuwa na ka experience ka kutosha, vipi kuhusu kumuumiza mtu ulishawahi? Najiulizaga sana hili swali kwanini hakunaga usawa katika mapenz? Unaweza mpenda mtu head over heels ila at time amekuzoea anapunguza upendo. Sijui what happens
Mapenzi ni kama moto ukikosa vitu vya kuchochea tu lazima upunguze makali
 
Mapenzi ni pale ambapo unaona kabisa kwamba "common sense" inapotea. Chongo unaona kengeza, lijitu liongo unaliona ni licheshi, mvivu unamwona amechoka tu, pale unapopoteza uwezo wa kuamua kwa busara. Sasa kama unayempenda naye anakupenda kwa dhati hapo ni safi sana. Tatizo ni pale unayempenda ni mbabaishaji, hapo umeula wa chuya.
 
Back
Top Bottom