Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.


Hapo ndo kila kitu mkuu usafi ni kitu muhimu sana katika mahusiano ya kimapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada mmoja aliolewa na childhood sweetheart. Walianza mapenzi wakiwa form one. Baada ya kumaliza form four bidada alikwenda teaching mwanaume alikwenda chuo cha polisi Moshi.

Walibahatika kupata watoto wanne, mwanaume alipata uhamisho kwenda Oysters Bay polisi kutoka mkoani. Wamefilka Dar walipata polisi quarters. Dada alipata kituo cha kazi mjini.

Mkaka alianza kuwa mlevi, haijali familia. Hela ya mama yote iliishia kutunza familia. Mwalimu alikuwa anapanda mabasi kwenda kazini. Kuna baba mmoja aliishi sana Ulaya ndiyo amerudi Tanzania na Mercedes yake akawa anampita kituoni kila siku. Kuna siku yule baba aliamua kumpa lift.

Baada ya hapo kilichofuatia ni mwanaume kumuoa yule dada na alichukua majukumu ya kulea watoto wote. Mr Mercedes alikuwa na apartments anapangisha kwa US€
Na huyo mlevi aliishia wapi! Embu malizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidogo nishangae kutokuona story uchwara kwenye nyuzi yako

California love
 
Nisomeshe mitoto ya mwanaume mwingine"Top school"??...Hell no,nitachekwa hata na ndugu zangu
 
Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho yake iko burudani

Hata asikie ulikuwa changu doa atadharau, hata uwe na watoto wawili baba tofauti ataamua kuwalea na Ada za shule atalipa. Kwakua atapenda kukufurahisha kama ana uwezo usishangae kusikia watoto wanakwenda kwenye top schools.

Ndugu na marafiki watadhani ulifanya limbwata kumbe masikini wala hayo huyajui. Watasema watachoka

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.

Jaribu sana kutengeneza muda wenu nyinyi wawili tu.

Roho ya mwanaume iko tumboni. Msome vyakula anavyovipenda. Kama hijui kuvipika ingia you tube upate tuition gharama bundle.

Usiwe mchoyo.
"Usiwe mchoyo" wenye akili zao watakuelewa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom