Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho yake iko burudani

Hata asikie ulikuwa changu doa atadharau, hata uwe na watoto wawili baba tofauti ataamua kuwalea na Ada za shule atalipa. Kwakua atapenda kukufurahisha kama ana uwezo usishangae kusikia watoto wanakwenda kwenye top schools.

Ndugu na marafiki watadhani ulifanya limbwata kumbe masikini wala hayo huyajui. Watasema watachoka

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.

Jaribu sana kutengeneza muda wenu nyinyi wawili tu.

Roho ya mwanaume iko tumboni. Msome vyakula anavyovipenda. Kama hijui kuvipika ingia you tube upate tuition gharama bundle.

Usiwe mchoyo.
Type hizo mara nyingi huwaga wana salitiwa na wanawake wao,nimeshuhudia sehemu nyingi.
 
Kuna dada mmoja aliolewa na childhood sweetheart. Walianza mapenzi wakiwa form one. Baada ya kumaliza form four bidada alikwenda teaching mwanaume alikwenda chuo cha polisi Moshi.

Walibahatika kupata watoto wanne, mwanaume alipata uhamisho kwenda Oysters Bay polisi kutoka mkoani. Wamefilka Dar walipata polisi quarters. Dada alipata kituo cha kazi mjini.

Mkaka alianza kuwa mlevi, haijali familia. Hela ya mama yote iliishia kutunza familia. Mwalimu alikuwa anapanda mabasi kwenda kazini. Kuna baba mmoja aliishi sana Ulaya ndiyo amerudi Tanzania na Mercedes yake akawa anampita kituoni kila siku. Kuna siku yule baba aliamua kumpa lift.

Baada ya hapo kilichofuatia ni mwanaume kumuoa yule dada na alichukua majukumu ya kulea watoto wote. Mr Mercedes alikuwa na apartments anapangisha kwa US€
Ushasema ni baba sio kijana, kwa wazee kufanya icho kitendo ni kawaida
 
Single mama bhana kwa kujifaraji!!yani ule mtoto ambye baadaye hata thamini kuwa wewe ni baba yake atakutelekwza huku akimtafuta bab yake halisi ambaye alimkana!!labda amerikaaaa siyo bongo thubutu bora hizo hela kama ni nazo nijenge msikiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho yake iko burudani

Hata asikie ulikuwa changu doa atadharau, hata uwe na watoto wawili baba tofauti ataamua kuwalea na Ada za shule atalipa. Kwakua atapenda kukufurahisha kama ana uwezo usishangae kusikia watoto wanakwenda kwenye top schools.

Ndugu na marafiki watadhani ulifanya limbwata kumbe masikini wala hayo huyajui. Watasema watachoka

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.

Jaribu sana kutengeneza muda wenu nyinyi wawili tu.

Roho ya mwanaume iko tumboni. Msome vyakula anavyovipenda. Kama hijui kuvipika ingia you tube upate tuition gharama bundle.

Usiwe mchoyo.
Hivi mkuu kati ya anayependa na anayependwa,,yupi anaona faraja wakiwa pamoja?
 
Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho yake iko burudani

Hata asikie ulikuwa changu doa atadharau, hata uwe na watoto wawili baba tofauti ataamua kuwalea na Ada za shule atalipa. Kwakua atapenda kukufurahisha kama ana uwezo usishangae kusikia watoto wanakwenda kwenye top schools.

Ndugu na marafiki watadhani ulifanya limbwata kumbe masikini wala hayo huyajui. Watasema watachoka

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.

Jaribu sana kutengeneza muda wenu nyinyi wawili tu.

Roho ya mwanaume iko tumboni. Msome vyakula anavyovipenda. Kama hijui kuvipika ingia you tube upate tuition gharama bundle.

Usiwe mchoyo.
Aachane na hayo sijui kupika sijui usafi...kwanza afunge na kuomba Mara 1 kwa week ukiacha siku za ibada,(ijumaa jmos au j2).. Kumuombea huyo M.me atakaye Rith pepo.Ndio mengine yafwate
 
Kuna dada mmoja aliolewa na childhood sweetheart. Walianza mapenzi wakiwa form one. Baada ya kumaliza form four bidada alikwenda teaching mwanaume alikwenda chuo cha polisi Moshi.

Walibahatika kupata watoto wanne, mwanaume alipata uhamisho kwenda Oysters Bay polisi kutoka mkoani. Wamefilka Dar walipata polisi quarters. Dada alipata kituo cha kazi mjini.

Mkaka alianza kuwa mlevi, haijali familia. Hela ya mama yote iliishia kutunza familia. Mwalimu alikuwa anapanda mabasi kwenda kazini. Kuna baba mmoja aliishi sana Ulaya ndiyo amerudi Tanzania na Mercedes yake akawa anampita kituoni kila siku. Kuna siku yule baba aliamua kumpa lift.

Baada ya hapo kilichofuatia ni mwanaume kumuoa yule dada na alichukua majukumu ya kulea watoto wote. Mr Mercedes alikuwa na apartments anapangisha kwa US$
Dream stories zinazotokea Mara 1 baaada ya miaka 50
 
Wenye gundu wamewaka hatari, kupigwa matukio kwao ni sehemu yao ya maisha watahisi hadithi za mtoa mada ni ndoto,

Ninayo story ya kwangu mwenyewe, ukifika muda muafaka basi nitashuhudia,
 
Matamu zaidi ukimpata anayejiachia na kukupa vyote wakati wa majamboz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom