Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,351
Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho yake iko burudani

Hata asikie ulikuwa changu doa atadharau, hata uwe na watoto wawili baba tofauti ataamua kuwalea na Ada za shule atalipa. Kwakua atapenda kukufurahisha kama ana uwezo usishangae kusikia watoto wanakwenda kwenye top schools.

Ndugu na marafiki watadhani ulifanya limbwata kumbe masikini wala hayo huyajui. Watasema watachoka

Ukipata bahati hiyo shost kumbuka kwanza usafi. Usafi wa mwili wako na mazingira yanayokuzunguka.

Jaribu sana kutengeneza muda wenu nyinyi wawili tu.

Roho ya mwanaume iko tumboni. Msome vyakula anavyovipenda. Kama hijui kuvipika ingia you tube upate tuition gharama bundle.

Usiwe mchoyo.
 
Uwe na watoto wawili baba tofauti mwenzio hana alafu akupende na asomeshe wanao top schools,Funga upige sana sala labda utafanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ontuzu, mpaka mtu aje aandike thread hapa, basi pengine ana mifano hai; keshayaona sehemu haya mambo. Dunia ina mengi hii, si mchezo!
 
Uwe na watoto wawili baba tofauti mwenzio hana alafu akupende na asomeshe wanao top schools,Funga upige sana sala labda utafanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dada mmoja aliolewa na childhood sweetheart. Walianza mapenzi wakiwa form one. Baada ya kumaliza form four bidada alikwenda teaching mwanaume alikwenda chuo cha polisi Moshi.

Walibahatika kupata watoto wanne, mwanaume alipata uhamisho kwenda Oysters Bay polisi kutoka mkoani. Wamefilka Dar walipata polisi quarters. Dada alipata kituo cha kazi mjini.

Mkaka alianza kuwa mlevi, haijali familia. Hela ya mama yote iliishia kutunza familia. Mwalimu alikuwa anapanda mabasi kwenda kazini. Kuna baba mmoja aliishi sana Ulaya ndiyo amerudi Tanzania na Mercedes yake akawa anampita kituoni kila siku. Kuna siku yule baba aliamua kumpa lift.

Baada ya hapo kilichofuatia ni mwanaume kumuoa yule dada na alichukua majukumu ya kulea watoto wote. Mr Mercedes alikuwa na apartments anapangisha kwa US$
 
Kuna dada mmoja aliolewa na childhood sweetheart. Walianza mapenzi wakiwa form one. Baada ya kumaliza form four bidada alikwenda teaching mwanaume alikwenda chuo cha polisi Moshi.

Walibahatika kupata watoto wanne, mwanaume alipata uhamisho kwenda Oysters Bay polisi kutoka mkoani. Wamefilka Dar walipata polisi quarters. Dada alipata kituo cha kazi mjini.

Mkaka alianza kuwa mlevi, haijali familia. Hela ya mama yote iliishia kutunza familia. Mwalimu alikuwa anapanda mabasi kwenda kazini. Kuna baba mmoja aliishi sana Ulaya ndiyo amerudi Tanzania na Mercedes yake akawa anampita kituoni kila siku. Kuna siku yule baba aliamua kumpa lift.

Baada ya hapo kilichofuatia ni mwanaume kumuoa yule dada na alichukua majukumu ya kulea watoto wote. Mr Mercedes alikuwa na apartments anapangisha kwa US€
Kila kitu kinawezekana kwenye hii dunia japo kwa bongo ni mara chache ila inawezaekana. Kuna tofaut kati y comment za jf na maisha halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yote uliyoongelea kwa kwa sentesi moja ni "mwanaume anayejali".
Tafsiri ya mwanake neno" kujali" ni kupewa hela.
Kifupi mwanaume kabwela mwenye mapenzi ya kweli kwenye huu uzi hujamwongelea ndo mana umegusia ishu za 'top schools".
Tatizo kuu ni kuwa tunawakosa watu makini kwasababu ya ufahamu wetu mdogo.
Nimesema kama ana uwezo lakini awe na uwezo au la atakupenda regardless of your past.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom