Mapenzi ni kitu muhimu sana.

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,634
4,519
Wacheki hawa.....
funny-couples-love-04.jpg


Wengine hawa


Funny-Couples10.jpg
 
mmmmh nipe muda wa kufikiri, kuomba na kufanya maamuzi,




Haya mama chukua muda wowote unaoutaka na mimi inabidi niongeze muda wa nadhiri yangu huku,
maana nilioteshwa kuwa wangu wa milele atatoka hapahapa JF.
 
Haya mama chukua muda wowote unaoutaka na mimi inabidi niongeze muda wa nadhiri yangu huku,
maana nilioteshwa kuwa wangu wa milele atatoka hapahapa JF.

Eti eee, yani kesho nawahi misa ya asubuhi, afu katikati ya wiki nitaomba isomwe misa malumu kwa ajili yetu, ili tujue ni
kweli wewe ni Mume mwema kwangu na mimi ni mke mwema kwako??
 
Eti eee, yani kesho nawahi misa ya asubuhi, afu katikati ya wiki nitaomba isomwe misa malumu kwa ajili yetu, ili tujue ni
kweli wewe ni Mume mwema kwangu na mimi ni mke mwema kwako




Hii post imefanya siku ya leo kuwa njema kabisa,naomba usome vizuri hapo nilipoweka bold na hiyo ndio maana yake bila hata ya kuongeza wala kupunguza .
 
tehe teheeee,





Na hapo ndio nilipozidi kukupenda,maana kikwetu wakati mnaongea mwenzio akicheka tu basi ujue ujumbe wako umekubaliwa kwa hiyo asante sana kwa kunikubalia ombi langu, tuanze maandalizi tu sasa au unasemaje.
 
Na hapo ndio nilipozidi kukupenda,maana kikwetu wakati mnaongea mwenzio akicheka tu basi ujue ujumbe wako umekubaliwa kwa hiyo asante sana kwa kunikubalia ombi langu, tuanze maandalizi tu sasa au unasemaje.

Hata kabla hatujaomba mmmmh, inabidi tuombe kwanza bwana,
Mmmmh afu we paka mweusi, kwani we ni mweusi kama huyo paka.
 
Hata kabla hatujaomba mmmmh, inabidi tuombe kwanza bwana,
Mmmmh afu we paka mweusi, kwani we ni mweusi kama huyo paka.[/QUOTE]




Waliniambia hawanipendi labda nipake mkorogo sasa nimepaka naona nimeanza kubadilika bado miguu na mikono tu.
 
Hata kabla hatujaomba mmmmh, inabidi tuombe kwanza bwana,
Mmmmh afu we paka mweusi, kwani we ni mweusi kama huyo paka.[/QUOTE]


Waliniambia hawanipendi labda nipake mkorogo sasa nimepaka naona nimeanza kubadilika bado miguu na mikono tu.



Afu unajua mi nmekupenda kama ninavyokuona hapa, sasa wewe umepaka mkorogo,
duh!!, kikwazo cha kwanza hicho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom