St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
- Thread starter
- #41
Mmmmmmh, kumbe mambo yenyewe ndio hivi, basi bwana.
Ya nini malumbano, ya nini maneno?
Najiweka pembeni, kuepusha msongamano,
Bora nitulie nipate......
Mola nijalie, haya yasinirudie,
Punguza hasira mama,usinifukuze kwako.kumbuka sina pa kwenda na ujue kabisa kuwa kosa la kwanza halivunji nyumba huyu ni shetani tu alinipitia rudi tuendelee na mipango yetu tuliyoanza.