The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,329
Ila we ukiombwa upewe tuu, ivyoKuna hela ya kumpa mwanaume kawaida zile ndogo ndogo akikwama hivi.
Sio mtu anakuomba laki tatu umpatie hivi hivi
Ila we ukiombwa upewe tuu, ivyoKuna hela ya kumpa mwanaume kawaida zile ndogo ndogo akikwama hivi.
Sio mtu anakuomba laki tatu umpatie hivi hivi
Jamanii
Hakuna watu bahili kama wanawake
Tumeumbwa kupokea tu
ndiyo nipewe tu nikiomba .Ila we ukiombwa upewe tuu, ivyo
Kwa kweli Mungu alitambua hivyo lasivyo ingekuwa shida .Cha muhimu kila mtu aliumbwa kwa kusudio lake...Ingekuwa wote mpo aina moja sijui ingekuwaje
Sawa!!! Nature haijawai danganya,hadanganywi wala haidanganyikiHahahah oa kwanza mzee, kisha uje na ngonjera zako...Mambo yakigoma hakunaga alpha wala ukwaju! Mama zetu wengi waliendesha familia kwa kipindi cha mpito wa redundancy!
Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.
Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%. She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.
Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.
Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!
Hiki unachoishi ndio hasa maana ya hii mada kuu hapa. Kwamba kwanini watu wanaona kama sio sawa mtu kama wewe kujitoa kwa mtu wako?Nikihesabu zaidi mimi nampa kuliko yeye anavyo nipa,sijisikii vibaya naona kawaida kwasababu naelewa changamoto anazo pitia kwa sasa
Kwa mara ya kwanza sijisikii kuumia kumpa mwanaume hela
Kwasababu tunacover gap,ananipa nampa
Pesa sio issue kwenye mahusiano yetu
Hahaha poleKumbe mnajijua? Unampa kila anachohitaji kwake unataka penzi at least hayo mengine awezi kukupa kutokana na ubahili wa ke wengi lakini hata hilo penzi tu kukupa inakuwa nongwa tupu.
Teh teh na hapo ndipo ninapowashangaa wabongo wengi! Wameshakariri kuwa ngono ni hitaji muhimu kwa kila binadamu ndiyo maana wananishangaa mtu kama mimi ambaye nasema siko kwenye mahusiano!Mahusiano uliyapiga stop Sasa unaishije? Binadam wa kawaida kwichi kwichi Ni muhimu na Ni lazima..! Twambie waishije bila mchenjuo? Au we lesbian ?
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli mimi kuliko kuwa kwenye mahusiano kama hayo ni bora nibaki single hadi nakufa! African men demand a lot from their women more than they can give!@Karma hataki kabisa kusikia haya mambo hadi kaamua kuachana na mahusiano
Si unaona sasa akili zako?Kwani kipaimara si kupokea pia
Kwani msingi wa mada ni upi hasa tuanzie hapo?Hama
Hamna ni kwamba kinacholengwa ni kingine ila wewe umekazania mambo ambayo hayakuwa msingi wa mada ili ubishane.
We ni mwanamke unapretend kuwa mwanaume i can smell you......
Kweli????Bomba la fact.. Bingo
Ha ha ha ha haUkianza kujitegemea na kuanza maisha utaelewa hizo nadharia mnazojifunza huko Facebook na Instagram haziapply kwenye maisha.......
That beggars would ride on them...... . ..How do you mean?!
Kwel ule msemo kwamba ikiwa mshahara wako ni 100K na mkeo nae ni 100k nyumban jumla mna 100k alikuwa anaongelea wanawake wa hiviKweli????