Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 25,909
- 67,904
Unacheka kama mazuri vilehahahaha
Hahahah tusaa twa buku 3 na masharti kibao
Hela ya ke ni chungu sana huwa inawafaa wenyewe imagine hata kwa matumizi yake binafsi bado inamuuma
Unacheka kama mazuri vilehahahaha
Hahahah tusaa twa buku 3 na masharti kibao
Sema nini mmetukamia sana na tuboksa boksa, vest, mikanda na socks
Unajikuta unasemwa duniani hadi mbinguni😂Sio tumewakamia ndio uhalisia wa wengi wenu ndio zawadi mnazotoa kwa asilimia kubwa zikiambatana na maneno ya kashfa mkiachana. Ooh nmemvalisha nmempendezesha alikua hajui hata kuvaa alafu kaniacha
Hahahah yani demu akijipeleka mgahawani ataagiza wali marage ila ukimpeleka wewe lazma aagize biriani kuku.Unacheka kama mazuri vile
Hela ya ke ni chungu sana huwa inawafaa wenyewe imagine hata kwa matumizi yake binafsi bado inamuuma
Aloo weeBasi ujue mi nataka nikuowe mama😍 njoo tufanye maisha pls
Ndio hvyo lakini hakuna namna bado tunawapenda na kuwajali sana.Unajikuta unasemwa duniani hadi mbinguni
Hahahah yani demu akijipeleka mgahawani ataagiza wali marage ila ukimpeleka wewe lazma aagize biriani kuku.
Mwanaume ni mtawala babu, uliona wapi mtawala analishwa.Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.
Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%. She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.
Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂
Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!