Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

To be honest hakuna kitu sipendi kama kumuomba hela mtu.Huwa natamani muhusika mwenyewe ndo anipe bila kumuomba.Ni vile Tu sa ingine Mambo yako yanakwama inabidi uombe.

Mara nyingi Sisi wanawake huwa tunapenda kupokea na si kutoa.Nadhani hiyo ndo asili toka Adam na Hawa.Mungu alivyosema mwanaume utakula kwa jasho nadhani pale Alimaliza kila kitu.Kutoka jasho si mchezo mpaka uchakarike hasa.Basi na si ndo tunaona hapo ndo mnatakiwa mpambane ili tuishi mjini.Japo huw natamani Sana ningekua na uwezo kila linahusu fedha ningelimaliza mwenyewe starting from school fees,chakula na kila kitu.
 
Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.

Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%. She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.

Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂

Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!
Mwanaume ni mtawala babu, uliona wapi mtawala analishwa.
badilika
 
Back
Top Bottom