SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Kwa kweli hii stereotyping sometimes inakera......miaka kadhaa iliyopita nilienda kupanga kwenye nyumba moja hapa Dar, tulikubaliana mambo yote kuhusu pango lakini mwishoni akataka kujua kabila langu...kwa vile nilikuwa na shida nikamtajia kabila langu....baadae nikataka kujua kwa nini kaniuliza....na yeye bila kuzunguka akanambia hataki kupangisha wahaya katika nyumba yake (kwa kweli ilinisononesha sana japokua mimi sio mhaya!) na ni kweli kwenye hiyo estate yake hakukuwa na mpangaji mhaya.
Ishu ya kabila tena ikajitokeza wakati fulani nilipokuwa nanunua kijisehemu cha ardhi mahala fulani.....muuzaji akataka kujua kabila langu....kama kawaida, nikamtajia....lakini baadae kwa utaratibu nikamdodosa ni kwa nini alitaka kujua kabila langu. Akanambia hapendi kupakana na mchaga! Duh, ni kachoka kabisa. Nikajaribu kuimagine kama kweli ningekuwa mchagga angekataa hela ama vipi!
Hatukatai trends au patterns za kitabia (au tamaduni) zipo lakini shida ni namna na mahala tunapozitumia. Mara kadhaa pia nimeona hata stereotyping kwa mujibu wa dini pia inakuwa tatizo.
Ishu ya kabila tena ikajitokeza wakati fulani nilipokuwa nanunua kijisehemu cha ardhi mahala fulani.....muuzaji akataka kujua kabila langu....kama kawaida, nikamtajia....lakini baadae kwa utaratibu nikamdodosa ni kwa nini alitaka kujua kabila langu. Akanambia hapendi kupakana na mchaga! Duh, ni kachoka kabisa. Nikajaribu kuimagine kama kweli ningekuwa mchagga angekataa hela ama vipi!
Hatukatai trends au patterns za kitabia (au tamaduni) zipo lakini shida ni namna na mahala tunapozitumia. Mara kadhaa pia nimeona hata stereotyping kwa mujibu wa dini pia inakuwa tatizo.