Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,393
- 31,344
Lizzy,
Nadhani waliokuelewa wamekuelewa na wasiokulewa basi sijui kama watakuelewa.
Nichangie senti sumuni, hili ni tatizo la exposure. Kama umeishi kijijini kidogobasi au Mtimbira bila kuwa na maingiliano na watu wengine, dunia utakayokuwa unaijua ni hiyo. Utajua kuwa mchele ni kwa ajili ya pepeta tu,kwasababu hujaona wali au pilau.
Moja ya mambo mazuri ya boarding school au JKT ilikuwa ni kukutanisha watu wenye tabia tofauti na mitazamo tofuati ili walete uwiano na kujua kile wasichokijua. Kwa bahati mbaya hali ya siku hizi hairuhusu hivyo na kwahiyo kijana aliyesikia hadithi kuwa Tanga kuna paka wanaongea anabaki kuamini hivyo. Yule aliyesikia Sumbawanga kuna wachawi basi anaamini hivyo n.k.
Hao wanaosema ya tabia, ukabila n.k sio kwamba wana chuki, ni exposure tu! Nimeishi sehemu nyingi sana, na makabila mengi na watu wenye tabia mbali mbali. Ninajua tabia ya mtu haihusiani na chochote ila yeye mwenyewe.
Huko nilkopitia shule,jeshini na makazini kumenisaidia sana kuijua dunia hii.
Nina hakika wanaoandika hayo ipo siku wataangalia thread zao na watajutia wanayoyaandika.
Nadhani waliokuelewa wamekuelewa na wasiokulewa basi sijui kama watakuelewa.
Nichangie senti sumuni, hili ni tatizo la exposure. Kama umeishi kijijini kidogobasi au Mtimbira bila kuwa na maingiliano na watu wengine, dunia utakayokuwa unaijua ni hiyo. Utajua kuwa mchele ni kwa ajili ya pepeta tu,kwasababu hujaona wali au pilau.
Moja ya mambo mazuri ya boarding school au JKT ilikuwa ni kukutanisha watu wenye tabia tofauti na mitazamo tofuati ili walete uwiano na kujua kile wasichokijua. Kwa bahati mbaya hali ya siku hizi hairuhusu hivyo na kwahiyo kijana aliyesikia hadithi kuwa Tanga kuna paka wanaongea anabaki kuamini hivyo. Yule aliyesikia Sumbawanga kuna wachawi basi anaamini hivyo n.k.
Hao wanaosema ya tabia, ukabila n.k sio kwamba wana chuki, ni exposure tu! Nimeishi sehemu nyingi sana, na makabila mengi na watu wenye tabia mbali mbali. Ninajua tabia ya mtu haihusiani na chochote ila yeye mwenyewe.
Huko nilkopitia shule,jeshini na makazini kumenisaidia sana kuijua dunia hii.
Nina hakika wanaoandika hayo ipo siku wataangalia thread zao na watajutia wanayoyaandika.