Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,047
- 3,322
Maybe
Maybe
Nimeipenda hiiUsifungwe na utamaduni au mila.
Tazameni mioyo yenu tu!
Mambo mengine ni blah blah za wanadamu
asa we na huyo mtoto wa mamdogo wako undugu wenu uko wap ?Katika mazingira fulani fulani tukajikuta mimi na mtoto wa mama yangu mdogo tumeanza kupeana vya faragha,tulianza Kama utani tukitarajia hatutafika mbali,mwaka wa tano Sasa tumeshanogewa kila tukijaribu kuachana haiwezekani kabisa,dada mwenyewe japokuwa pendo limeiva lakini ukweli ni kwamba hana viwango vyovyote,sura na shape yake hovyo kabisa,ila kunako faraghani mambo ni faya.
Nimekuja kwenu nishaurini tufanyaje ili tuachane?
Sent using Jamii Forums mobile app
... atakuwa mwarabu huyo; hao ndio zao kuoana hadi wajomba.
... kuna umama mdogo wa aina mbili au tatu hivi. Mosi, mke wa pili wa baba yako. Huyu mwanae na wewe mna-share DNAs za baba yenu. Pili, mke wa baba mdogo (aliyezaliwa na baba). Huyu mwanae na wewe mna-share DNAs za babu yenu upande wa baba.asa we na huyo mtoto wa mamdogo wako undugu wenu uko wap ?
Mki share DNA Kuna tatizo?... kuna umama mdogo wa aina mbili au tatu hivi. Mosi, mke wa pili wa baba yako. Huyu mwanae na wewe mna-share DNAs za baba yenu. Pili, mke wa baba mdogo (aliyezaliwa na baba). Huyu mwanae na wewe mna-share DNAs za babu yenu upande wa baba.
Tatu, dada mdogo yake mama. Huyu mwanae mna-share DNAs za babu yenu upande wa mama. Nne, mama mdogo wa hiari. Huyu kama hayuko kwenye line yoyote ya kizazi, hakuna issue sana lakini inategemea ukaribu. Sometimes heshima ya kifamilia inaweza ku-override mahusiano ya kimapenzi.
Kwa mtazamo wangu, uhusiano wa kimapenzi ambao ukifuatilia line ya kizazi kwa wahusika wanakutana ndani ya vizazi kumi HAUFAI. Baadhi ya makabila kwa kuliona hilo wamekuwa na STRICT majina ya ukoo ambayo huenda vizazi na vizazi mojawapo ya sababu ni ku-control vitu kama hivyo. Otherwise kunakuwa na hatari ya kuoana ndani ya kizazi cha karibu sana kama case ya huyu mleta mada anayelala na dada yake mwaka wa tano sasa kama anavyojisifia mwenyewe!
Mtihani ,si yeye si Mimi sote tumekolea hatariDuuh hatariiii, kaeni chini muyamalizee Maana mtatia aibu wazazi wenu
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
Kumpiga chini au kunipiga chini sio kazi ndogoMuombe SUMAKU tuone akikataa mpige chini tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
😆😆😆😆