Mapenzi na ndugu yananitesa sana

Jan-uary

JF-Expert Member
Dec 7, 2017
967
1,015
Katika mazingira fulani fulani tukajikuta mimi na mtoto wa mama yangu mdogo tumeanza kupeana vya faragha,tulianza Kama utani tukitarajia hatutafika mbali,mwaka wa tano Sasa tumeshanogewa kila tukijaribu kuachana haiwezekani kabisa,dada mwenyewe japokuwa pendo limeiva lakini ukweli ni kwamba hana viwango vyovyote,sura na shape yake hovyo kabisa,ila kunako faraghani mambo ni faya.
Nimekuja kwenu nishaurini tufanyaje ili tuachane?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mazingira fulani fulani tukajikuta mimi na mtoto wa mama yangu mdogo tumeanza kupeana vya faragha,tulianza Kama utani tukitarajia hatutafika mbali,mwaka wa tano Sasa tumeshanogewa kila tukijaribu kuachana haiwezekani kabisa,dada mwenyewe japokuwa pendo limeiva lakini ukweli ni kwamba hana viwango vyovyote,sura na shape yake hovyo kabisa,ila kunako faraghani mambo ni faya.
Nimekuja kwenu nishaurini tufanyaje ili tuachane?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtie mimba then sepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom