Mapenzi matamu jamani

Mapenzi matamu jamani

1000028604.jpg
 
Ndugu zangu mbali nanyoote ila hakikisha una mpenzi anaekupenda na wewe unampenda kiufupi mpendane kweli kweli maisha yanakuwa rahisi na matamu yenye furaha ukiwa na mwenza mnaeendanda, furaha ya kweli inatokea hapo.

Kama una kazi nzuri ,pesa na na kila kitu ila kama huna mwenza maisha kwako hayana maana yeyote ni hutokuwa na furaha ile ya dhati kamwe.
Vina muda basi ndugu😂😂
 
Penzi jipya huwafanya waswahili wajione wako India au Korea au Ufilipino...
Watu hawa huona wengine hawajui au hawezi au hawajabahatika kwenye mapenzi.

Pia watu hawa huwa mabalozi wazuri pale kikishawaramba... Tukupe muda gani ili kisipokuramba uje utuumbue?
Sisi tunakupa nainte dayz..
Sio penzi jipya wala sina mpenz ila ni mtazamo tu, kukaa single bila mpenz sio ujanja
 
Back
Top Bottom