Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Ndugu zangu nionavyo ni kuwa sisi waafrika watanzania in particular kutafuta wapenzi au wachumba kwa njia za mtandao hatuwezi kabisa na wala hili si letu ingawa tunajitahidi na kujaribu kulitekeleza.
Moja kati ya sababu nyingi ni hulka yetu, mara nyingi mahusiano kati ya ke/me kuwa hayahitaji masimulizi mengi kabla yashike kasi, sisi ni watu wa moto na mahusiano yetu huongozwa na hisia kwanza (inner feelings) kabla ya tabia ya mtu mwenyewe. Mahusiano ya wazungu ambao hutumia muda mwingi mtandaoni kuelezea wapenzi wao watarajiwa like/dislike including interest ndio hasa wanaweza haya mambo manake wao interest huoana kwanza kabla ya feelings au sijui ndiyo tunaita mioyo kuopendana. wao wanaweza haya manake kama walikubaliana mmoja atakuwa anapika na mwingine anaosha vyombo siku hilo likibadikila linaweza kabisa kuwatenganisha tofauti na sisi ambao huingia kwenye ndoa bila aina hizi za makubaliano. Nashauri tuendelee na mfumo wetu kwa sababu una long lasting and loving relationship. Haya ya mitandao tuwaachie wazee wa majuu ambao ndo zilishakosa tafsri siku nyingi
Moja kati ya sababu nyingi ni hulka yetu, mara nyingi mahusiano kati ya ke/me kuwa hayahitaji masimulizi mengi kabla yashike kasi, sisi ni watu wa moto na mahusiano yetu huongozwa na hisia kwanza (inner feelings) kabla ya tabia ya mtu mwenyewe. Mahusiano ya wazungu ambao hutumia muda mwingi mtandaoni kuelezea wapenzi wao watarajiwa like/dislike including interest ndio hasa wanaweza haya mambo manake wao interest huoana kwanza kabla ya feelings au sijui ndiyo tunaita mioyo kuopendana. wao wanaweza haya manake kama walikubaliana mmoja atakuwa anapika na mwingine anaosha vyombo siku hilo likibadikila linaweza kabisa kuwatenganisha tofauti na sisi ambao huingia kwenye ndoa bila aina hizi za makubaliano. Nashauri tuendelee na mfumo wetu kwa sababu una long lasting and loving relationship. Haya ya mitandao tuwaachie wazee wa majuu ambao ndo zilishakosa tafsri siku nyingi