Tupe mifano mitatu waliofanikiwa kwenye mtandao na wanaishi kwa raha mpaka sasa
hapa lazima tujue lengo la umtafutae ni lipi je tamaa ama wataka kweli mwenzi ktk maisha? Kama si kwa tamaa bac mahusiano yanaweza kuanza popote ndio maana nimekushauri utafute hicho kitabu