Vodka
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 906
- 96
Jamaa akakutana na demu njiani akielekea kanisani. Jamaa alivutiwa na binti yule akaanza kutupa mistari,kabla ajapata jibu wakafika kanisani. Katikati ya ibada wakati wa sadaka jamaa ili kujionesha jinsi anavyo mpenda yule binti alimnong'oneza "...Usijali nitakutolea sadaka".