Mapenzi: Hatari, Kidogo Niue! Mungu Nisamehe.

images
 
Tyta huyu jamaa yabidi kupewa digits za shigongo. Anaweka utetezi dhaifu eti hana spidi. Kama ndivyo kwanin asisubir amalize stori yote ndio apost?
 
Last edited by a moderator:
Tyta huyu jamaa yabidi kupewa digits za shigongo. Anaweka utetezi dhaifu eti hana spidi. Kama ndivyo kwanin asisubir amalize stori yote ndio apost?
story yote kashaandika......anachofanya ni kucopy na kupaste vipanda vipande...angeandika yote hakuna ambaye angesoma maana ni ndefu sana...
 
Na nnamwambia kakangu mnayoyafanya na huyo hawara yako sali sala zako za mwisho!!
 
Tembosa bado upo na hii mambo...

Nakumbuka juzi kati uliandika kuwa hutaki kabisa kumuona Vane wako na hata mtoko wa Dubai ukautolea nje...

Leo imekuwaje umelainika ghafla bin vuuu hivyo, kumbe ulikuwa sitaki nataka eenh

ndo kashatoka dubai kaleta iphone S5 na laptop toshiba kumba akwenda......... lakini anaelekea kumgegeda mjamzito wa watu
 
..Basi mimi mwenyewe ndiyo niliyaanzisha yale
mazungumzo kwa kumuuliza anampango gani?

Hiyo mimba yake atanithibitishiaje kuwa
ni ya kwangu?
Akaniambia hapo sasa ndiyo pa mimi na wewe kuongea.
Ananiuliza wewe msimamo wako ni upi?
nikamwambia wewe msimamo wangu si uliukataa tokea mwanzo?
Akaniambia kufanya kama nilivyokuwa nataka mimi ingekuwa ngumu sana..

nikamwambia sasa mimi kama hiyo mimba ni yangu na wewe
una uhakika nitamleaje mwanangu?
Nikamwambia nataka kumlea mwanangu mimi,
Na sio alelewe na baba mwingine.

Hapo akaanza kuchange akaniambia, naomba nikuambie
ukweli, akasimama akaanza kuvua blauzi aliokuwa amevaa,
Mama yangu!!!
moyo ulinipasuka kwa kile nilichokiona roho ikaniruka kwa hasira za ajabu.

kumbe tumboni alikuwa kajifunga kigodoro flani hivi
ili tumbo lake litune na nimwamini kuwa anamimba.
Akaniambia sijawahi kupata mimba na bado sijawa tayari
kuzaa na yule jamaa aliyenioa nahitaji mtoto na wewe.

Tarehe zangu ziko vizuri sana leo tuki do ni lazima ninase,
jana nilikusisitizia kukutana na wewe kwa nguvu zote nikijua huu ndiyo
wakati muafaka wa mimi kubeba mimba yako.

Nimekuwa makini sana kwa mume wangu asinipe mimba
coz he dont deserve it, ur the one to do it
Naomba uwe baba wa mtoto wangu wa kwanza! hao wengine ntazaa na mume wangu

Nilichannganyikiwa kabisa, miguu ikalegea
kumbe huyu alianza mapema kunidanganya kuwa anamimba yangu
akijua ndiyo mbinu rahisi sana kunipata.
Kiukweli nilichanganyikiwa na Vannie alilielewa hilo...
 
...aisee nimebaki mwenyewe ofisini
ngoja nifunge kwanza. afu nitamalizia kwa kupitia simu yangu ya mkononi.
give me few minutes!!

Hadi maps wote wameondoka. nipeni dakika chache!
ntahamia kwenye simu.
 
Duuuh! majangaaa..bora hukutembea na manati ya kizungu maana ungekuja na thread nyingine hapa kuwa umeua mke wa mtu ukusaidiejee!!?
 
...aisee nimebaki mwenyewe ofisini
ngoja nifunge kwanza. afu nitamalizia kwa kupitia simu yangu ya mkononi.
give me few minutes!!

Hadi maps wote wameondoka. nipeni dakika chache!
ntahamia kwenye simu.

fanya haraka basi tujue uwii
 
Back
Top Bottom