story yote kashaandika......anachofanya ni kucopy na kupaste vipanda vipande...angeandika yote hakuna ambaye angesoma maana ni ndefu sana...Tyta huyu jamaa yabidi kupewa digits za shigongo. Anaweka utetezi dhaifu eti hana spidi. Kama ndivyo kwanin asisubir amalize stori yote ndio apost?
Tembosa bado upo na hii mambo...
Nakumbuka juzi kati uliandika kuwa hutaki kabisa kumuona Vane wako na hata mtoko wa Dubai ukautolea nje...
Leo imekuwaje umelainika ghafla bin vuuu hivyo, kumbe ulikuwa sitaki nataka eenh
Malizia basi khaaa
ndo kashatoka dubai kaleta iphone S5 na laptop toshiba kumba akwenda......... lakini anaelekea kumgegeda mjamzito wa watu
Hujambo wewe kitinda mimba?
...aisee nimebaki mwenyewe ofisini
ngoja nifunge kwanza. afu nitamalizia kwa kupitia simu yangu ya mkononi.
give me few minutes!!
Hadi maps wote wameondoka. nipeni dakika chache!
ntahamia kwenye simu.
tunasubiri
Ha ha ha h... Endelea kusubiri, anamalizia kufunga geti lol
...aisee nimebaki mwenyewe ofisini
ngoja nifunge kwanza. afu nitamalizia kwa kupitia simu yangu ya mkononi.
give me few minutes!!
Hadi maps wote wameondoka. nipeni dakika chache!
ntahamia kwenye simu.
Hakuna mimba hapo, we ngoja atakuja kuandika mwenyewe hapa...hii stori ndio inakoelekea bi mkubwa