nadhani aliongea kifasihi zaidi..
soma mpaka mwisho then unishauri. mayb u can change something
Utamu tena ule utamu ule ambao hata ukiulizwa jina lako waweza kusema
hulijui......
Hahaha hommie hata wewe unaweza ingizwa chaka kirahisi namna hii? Lazima kuna mtu amekuibia password asee.
Orayt, kam zis wei then.
Next time usije with, uje without..... right??and here I am ODM
Jamaa huko nyuma alishakiri kuwa hataki tena wanawake...
Inabidi uwe 'mtukutu' kuweza kuurudisha moyo wake kupenda wanawake tena...
Me mwemyewe sitaki tena wanaume so tutarudishiana mioyo.by the way happy new y