masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,800
- 16,823
Sema umegegedwa mpaka huna ladha.....loading error..............
hhaahjaaj kweli file halifunguki
Sema umegegedwa mpaka huna ladha.....loading error..............
Au choonii
Attention Seeking Syndrome kumba hata TZ waweza kuwa upo?
umukagame![]()
Yesterday 11:36
#1
Senior MemberArray
Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9
Nimemuacha rasmi leo!
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
Sasa hapa kataa kama huyo mbaba hajala vitu.
kama Dady wako ni mambo safi sasa kwanini ulikuwa una mind mshiko kihivi, wewe ndo ulijilengesha kwa hiyo miding ukaamua uchague mmoja mwenye mshiko mrefu na ukawa una du nae, KATAA NISIKIE NITOE USHAHIDI MWINGINE
Una lako jambo na wala haiwezi kuniingia akilini usikute kuna mtu unataka kumuibia hapa. Yangu macho..time will tell.
ukiona manyoya ujue,,,,,,,,
jamani mbona ujaniita???mpakan uzi umeenda hivi?
Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka moyoni,nimeblock namba zao woooote!nimeamua kuwa peke yangu kwanza!
Na wote mnaonisumbua pm someni hapa sitaki usumbufu tena na kama una namba yangu usinipigie sm tena!huu ndio uamuzi wangu,
usiseme hivyo waume zetu wapo umu
Ulikua wapiiii
Ulikua wapiiii
wako wako tu habebwi bhana..
nasaka doo hun,evelyn salt anajua nilikokua ila usimuulize atakudanganya
Hawajanigusa hta
Kama anacare mbona hakujali kumtafutiaa kazi mdogo wako mpaka mapedesheeee walimtafutiaaa!!???
Siyo kweli ma familly hawatak niwe na relationship na watu hawana mahela dats y ikawa ivo ma bf he was gud bt tatzo ni din nikamuwacha