Mapenzi basi tena

Mapenzi basi tena

Ndio maana kuumbe!! Huna hata siku 20 tangu ujiunge??
 
user-online.png
umukagame

Yesterday 11:36
#1

Senior MemberArray


Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9


icon1.png
Nimemuacha rasmi leo!
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu​


Sasa hapa kataa kama huyo mbaba hajala vitu.
kama Dady wako ni mambo safi sasa kwanini ulikuwa una mind mshiko kihivi, wewe ndo ulijilengesha kwa hiyo miding ukaamua uchague mmoja mwenye mshiko mrefu na ukawa una du nae, KATAA NISIKIE NITOE USHAHIDI MWINGINE

Siyo kweli ma familly hawatak niwe na relationship na watu hawana mahela dats y ikawa ivo ma bf he was gud bt tatzo ni din nikamuwacha
 
Sijadu na mmbaba he was ma boyfrnd
Si umesema kuwa wewe bado mdogo? Ok huyo boy ni kweli ulimwacha kwa sababu za kiimani au kwa kuwa alikuwa na mshiko mbuzi na wewe unataka wenye pesa ndefu? kuwa mkweli tu, it wont cost a thing
 
swali la mwisho kwako umukagame, umesema kuwa wewe bado mdogo, je mdogo wa umri au mdogo kwa hiyo mibaba? je umeamua kuokoka kuachana na hiyo mibaba tu au na sisi vijana wenzako pia?

Me mdg kwao sana kama mtoto wao wa kunizaa emagine kama baba yangu,,nimeamua kuachana nao kabisa vijana wenzangu pia kwa sasa sihitaj natulia kwanza
 
Si umesema kuwa wewe bado mdogo? Ok huyo boy ni kweli ulimwacha kwa sababu za kiimani au kwa kuwa alikuwa na mshiko mbuzi na wewe unataka wenye pesa ndefu? kuwa mkweli tu, it wont cost a thing

He was very gud,,kaz nzur,usafiri ,mzur,nyumba nzuri an kunipenda sana tatz dini na umri wake kanzidi 13 years ila hilo halikuwa tatz tatz kbwa n din
 
Me mdg kwao sana kama mtoto wao wa kunizaa emagine kama baba yangu,,nimeamua kuachana nao kabisa vijana wenzangu pia kwa sasa sihitaj natulia kwanza

Kwa hiyo mwanzo ulivyo wakubali hukujua kuwa ni kama baba zako ndo unashituka sasa? na huyo boy wako ambae unaona alikuwa kijana mwenzako mbona ni mkubwa sana kwako nayeye huyo si mbaba tu kama hao wengine? inaonyesha kuwa wewe unatabia ya kupenda wababa sana.

By the way nakupongeza sana na uamuzi ulofikia, kama umeamua kuachana na hizo mambo, unaweza kushinda kwa ukweli tu ukiamua kujicommit kwenye dini, tumia muda wako mwingi ( your free time)kwenye shunghuli za kikanisa kisha kuwa na msimamo wa kweli ( kwamaana hata huko makanisani nako kumeoza vilele).

Jaribu kuwa mtu wa maombi na kusoma sana neno la Mungu, achana na marafiki ambao unaona wanaweza kuwa kikwazo katika msimamo wako, usiende kwenye mazingira ambayo yatakusababisha kulegeza msimamo wako, tumia muda wako wa jioni kuwa nyumbani pamoja na familia.

GOD BLESS YOU
 
Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka moyoni,nimeblock namba zao woooote!nimeamua kuwa peke yangu kwanza!
Na wote mnaonisumbua pm someni hapa sitaki usumbufu tena na kama una namba yangu usinipigie sm tena!huu ndio uamuzi wangu,
Kwani umekuwaje ulipokua ukihangaika ulikua unawaza nini binti? we kama hutaki nyuti unamuwekea nani matangazo ili iweje sasa???
 
kuna watu mna bahati zenu jamani. hata mwezi hujamaliza tayari watu washaonesha interest huko PM!! wengine miaka inakatika bila bila

Ha ha ha haaah,,,,,,,jamani ya kweli haya?
 
Huyu umukagame katokea wapi? kuna siku alitangaza humu anataka kujiua.....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom