Mapenzi basi tena

Mapenzi basi tena

Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka moyoni,nimeblock namba zao woooote!nimeamua kuwa peke yangu kwanza!
Na wote mnaonisumbua pm someni hapa sitaki usumbufu tena na kama una namba yangu usinipigie sm tena!huu ndio uamuzi wangu,

Weka picha yako kwanza.
 
Hawajanigusa hta
nakuwa mgumu wa kukuelewa na kukuamini, unadai wewe ni mdogo, imekuwaje mpaka ukachukua namba za hiyo mibaba? na ulikuwa ukikutana nayo wapi hiyo mibaba? na je ilikuwa ikikupa pesa kwa mantiki gani? na kwanini ni mibaba na sio mbaba mmoja?SAWAAA, inawezekena hawajakuingia lakini hata kuishika papachu na kuinyonya hawajafanikiwa kweli? na lifti zote walizokuwa wakikupa?

Wewe ulifikiri mwanaume si baba yako wala si kaka yako na hamna undugu wowote, akuombe namba ya simu kisha unampa, akupe pesa kisha wapokea, akupe lift kisha wakubali, wewe ulifikiri nini?
 
nakuwa mgumu wa kukuelewa na kukuamini, unadai wewe ni mdogo, imekuwaje mpaka ukachukua namba za hiyo mibaba? na ulikuwa ukikutana nayo wapi hiyo mibaba? na je ilikuwa ikikupa pesa kwa mantiki gani? na kwanini ni mibaba na sio mbaba mmoja?SAWAAA, inawezekena hawajakuingia lakini hata kuishika papachu na kuinyonya hawajafanikiwa kweli? na lifti zote walizokuwa wakikupa?

Wewe ulifikiri mwanaume si baba yako wala si kaka yako na hamna undugu wowote, akuombe namba ya simu kisha unampa, akupe pesa kisha wapokea, akupe lift kisha wakubali, wewe ulifikiri nini?

Haya yote hayana nafasi kwa sasa whatever ilikuwa hawajanfanya chochote nimesalimika naw its over!
 
hutaki mambo gani? si ungekataa tangu mwanzo wakikuomba namba ya simu na wakikupa mipesa yao

Ingekuwa najua nifanyaje nirudishe pes zao ningefanya hvyo lakn sa naangalia ya mbele
 
I hav ma money,,n ma dady anancare for everthing mibaba ya nin aaaaaggggrrrr
kwa hiyo walivyo omba pay back ndo ukakumbuka kuwa your dady ako na pesa mob? walivyo kuwa wana takecare of you, dady wako alikuwa wapi mpaka sasa wanataka payback ndo unamkumbuka?
 
Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka moyoni,nimeblock namba zao woooote!nimeamua kuwa peke yangu kwanza!
Na wote mnaonisumbua pm someni hapa sitaki usumbufu tena na kama una namba yangu usinipigie sm tena!huu ndio uamuzi wangu,

heee!! Aiseee!
 
kwa hiyo walivyo omba pay back ndo ukakumbuka kuwa your dady ako na pesa mob? walivyo kuwa wana takecare of you, dady wako alikuwa wapi mpaka sasa wanataka payback ndo unamkumbuka?

Sikujawahi omba pesa zao even one day!
 
swali la mwisho kwako umukagame, umesema kuwa wewe bado mdogo, je mdogo wa umri au mdogo kwa hiyo mibaba? je umeamua kuokoka kuachana na hiyo mibaba tu au na sisi vijana wenzako pia?
 
user-online.png
umukagame

Yesterday 11:36
#1

Senior MemberArray


Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9


icon1.png
Nimemuacha rasmi leo!
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu​


Sasa hapa kataa kama huyo mbaba hajala vitu.
kama Dady wako ni mambo safi sasa kwanini ulikuwa una mind mshiko kihivi, wewe ndo ulijilengesha kwa hiyo miding ukaamua uchague mmoja mwenye mshiko mrefu na ukawa una du nae, KATAA NISIKIE NITOE USHAHIDI MWINGINE
 
Senior MemberArray


Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9


icon1.png
Inanitokea tukiwa tunataka kudu!

Habari zenu wapendwa hope mnaendelea vizuri na Ujenzi wa Taifa

poleni mliokumbwa na majanga ya mafuriko pya!

Nina swali wenzangu mnisaidie au kama una uzoefu

Ni kama mara mbiliinatokea tukiwa tunataka tudu na boyfriend wangu inatokea mwili wangu nakuwa wa moto sana had jana mchuchu kashangaa ni sababu ya hizi hali yali ya hewa ya baridi ama ntakuwa na tatizo?​



huyu ni mmoja wapo wa hao mibaba au?
 
Senior MemberArray


Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9


icon1.png
Inanitokea tukiwa tunataka kudu!

Habari zenu wapendwa hope mnaendelea vizuri na Ujenzi wa Taifa

poleni mliokumbwa na majanga ya mafuriko pya!

Nina swali wenzangu mnisaidie au kama una uzoefu

Ni kama mara mbiliinatokea tukiwa tunataka tudu na boyfriend wangu inatokea mwili wangu nakuwa wa moto sana had jana mchuchu kashangaa ni sababu ya hizi hali yali ya hewa ya baridi ama ntakuwa na tatizo?​



huyu ni mmoja wapo wa hao mibaba au?
Sijadu na mmbaba he was ma boyfrnd
 
Back
Top Bottom