Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 422
- 525
Mimi nikiwa Kada wa dhati wa CCM namshauri Mheshimiwa Rais afanye mambo yafuatayo kulimaliza jambo hili kisiasa;
1. Awatumbue Mhe.Waziri wa Ujenzi,Katibu Mkuu wa Ujenzi,Mkurugenzi wa TPA na wengine wote waliohusika kumshauri vibaya kuhusiana na jambo hili.
2. Ahutubie Taifa akieleza jinsi alivyoshauriwa vibaya.
3. Atafutwe muwekezaji mwingine wa kuboresha bandari na asiwe DP World.
Bila kufanya hivi kelele zitaendelea ambazo nyingi ni za upotoshaji.Bahati mbaya watanzania wengi ni wepesi kuamini porojo na uzushi zaidi ya mambo ya kweli.
Ni rahisi kwa mtanzania kuamini kuwa matatizo yake ya njaa,ufukara nk yanasababishwa na DPW badala ya ukweli kuwa ni uvivu wake.
1. Awatumbue Mhe.Waziri wa Ujenzi,Katibu Mkuu wa Ujenzi,Mkurugenzi wa TPA na wengine wote waliohusika kumshauri vibaya kuhusiana na jambo hili.
2. Ahutubie Taifa akieleza jinsi alivyoshauriwa vibaya.
3. Atafutwe muwekezaji mwingine wa kuboresha bandari na asiwe DP World.
Bila kufanya hivi kelele zitaendelea ambazo nyingi ni za upotoshaji.Bahati mbaya watanzania wengi ni wepesi kuamini porojo na uzushi zaidi ya mambo ya kweli.
Ni rahisi kwa mtanzania kuamini kuwa matatizo yake ya njaa,ufukara nk yanasababishwa na DPW badala ya ukweli kuwa ni uvivu wake.