Unamaanisha JulianaAnaokoa uhai wake, asiopofanya hivyo dada Wakudadavuwa kwanza atafungia licence ya shughuli zake za rizki
Ee Mungu Tusaidie Na Sisi Tusio Mjuwa BABA Tupatie Dunia Yetu Tuwe Tunaenda Huko Maana Tuko Tofauti Sisi Tume Zaliwa Nje Wao Wamezaliwa Ndani, Sisi Mama Zetu Walikuwa Safarini,wao Mama Zao Walikuwa Sebuleni Tunakuomba Mzee Mtaani Tukusanye Wanao Tuna Nyanyasika Na Watoto Wa Ndani, Watoto Wa Mzee Ndani Wanatamba Jitokeze Basi Mzee Mtaani Utupe Faraja Ya Moyoau ndo wale watoto wa mtaani wasio mjua baba?
Wewe Kuna lipi umepigania?Kama wapigania Uhuru wa bara hili wangekuwa na mawazo na akili hizi................................
Hao wanafiki mkuu, kwenye kibodi ni akina Nyerere, katika uhalisia ni akina masawe!Ni kweli kama wapigania Uhuru wote wangekuwa kama wewe kujifanya mashujaa nyuma ya keyboard harafu hadharani ni ngedere alinyeshewa duu sijui kama Uhuru tungeupata
Oneni nyumbu wa Lumumba lowassa aligombea urais chadema 2009 au 2010 .Njaa iliwafanya waseme lowasa sio fisadi wakati wao wao walichoma mafuta kuzunguka tanzania nzima na chopa kusema lowasa fisadi. Najuta elf 10 yangu niliyochangia mafuta pale nmc arusha 2009.
Historia ya Pasxal Mayalla inapingana na contention yakoMtu akisema ukweli na kuamini na kusimamia sera za kweli chadomo wanasema njaa.
No, not at all. Reality on the ground, yanayotokea kuhusu gross violation of basic human rights kweli hayaoni? Mauajiutekaji etc hayaoni mpaka aseme tumuunge JPM asilimia 100Kwa hiyo ulitaka aseme yale unayotaka wewe
Banda la REA sabasaba pavilionREA yupo kama Engineer wa umeme au MC? Fafanua
Ligha yako uliyoitomia kujibu you fall in the same category ya kutolelewa na wazazi wawiliWe
We jamaa una matusi sana, naangalia post zako zote hakuna ambayo itakosa neno la kuudhi, hivi ulilelewa na wazazi wawili kweli, au ndo wale watoto wa mtaani wasio mjua baba? Kila anaeenda kinyume na wwe lazima umtukane, sasa mayara ukaragosi wake upo wapi, pale yupo kazini matusi ya nni? Pole kama nimekuudhi
Demokrasia ni nini. Je mtu akiamua kuwa Chadema ndo mtu zaidi kuliko anayekuwa CCM? Mwisho wa siku mnaonekana mapungasese kwa haya myaandikayo. Always anti demokrasia. Ant uhuru wa kujieleza wa wengine. Na mtu akiwa chadema au CCM lazima kuna siku atasema mapungufu ya chama chake. Haimfanyi kuwa nusu mwanachama. Mmefilisika sana. Mmekuwa kama ...... Mayalla mnamsema kwa kuwa hajajificha lakini nyie hatujui nyimbo gani mnaimba huko kupata ugali wenu wa kila siku. Aibu kubwa
Kila mtu anaongea kile anacho yeye we unaweza kuongea unayo ona weweNo, not at all. Reality on the ground, yanayotokea kuhusu gross violation of basic human rights kweli hayaoni? Mauajiutekaji etc hayaoni mpaka aseme tumuunge JPM asilimia 100
Hajitambui huyoLoh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
Atafanyeje na ana familia.Ila jamaa kweli kachoka sana wacha ajikombe
Mtaje kabisa ni huyu mtoa hojaIla wabongo kwa kuwapangia watu wengine namna ya kuendesha maisha yao tupo vizuri sana. Cha ajabu maisha yetu binafsi yanatupeleka puta.