Mapambio ya Pascal Mayalla

Mapambio ya Pascal Mayalla

Mleta mada acha unafiki, Pascal Mayalla ana maisha nje ya jamiiforum Kama wewe, alikuwa kazini kutafutia wanae ugali, maisha halisi ndivyo yalivyo, sometimes you side with authority to achieve your goals,

Msipende kuwaweka chambo wenzenu ili mfurahishe mioyo yenu huku mkiwasifu kwa kejeli kuwa ni "mashujaa". Everyone is responsible for his/her life, don't expect Pascal Mayalla to risk his life in order to make you happy!

Serikali ni ukuta ambao kiuhalisia kuutikisa inahitaji gharama kubwa ya kafara ya kujikana mwenyewe,

Acheni unafiki.

" If you can't fight them, join them"
 
hakuna cha tuhuma wala nn, awamu hii ukijifanya mbabe wanakupoteza...sasa we unadhani Pascal hana roho?!
we mwenyewe muoga unatumia fake id bora hata huyo Pascal
Mkuu pasikali wala hahitaji kupotezwa. Yule mgogo wa dodoma alisha mmaliza . tehetehee
 
Mleta mada acha unafiki, Pascal Mayalla ana maisha nje ya jamiiforum Kama wewe, alikuwa kazini kutafutia wanae ugali, maisha halisi ndivyo yalivyo, sometimes you side with authority to achieve your goals,

Msipende kuwaweka chambo wenzenu ili mfurahishe mioyo yenu huku mkiwasifu kwa kejeli kuwa ni "mashujaa". Everyone is responsible for his/her life, don't expect Pascal Mayalla to risk his life in order to make you happy!

Serikali ni ukuta ambao kiuhalisia kuutikisa inahitaji gharama kubwa ya kafara ya kujikana mwenyewe,

Acheni unafiki.

" If you can't fight them, join them"
Kama wapigania Uhuru wa bara hili wangekuwa na mawazo na akili hizi................................
 
Kama wapigania Uhuru wa bara hili wangekuwa na mawazo na akili hizi................................
Ni kweli kama wapigania Uhuru wote wangekuwa kama wewe kujifanya mashujaa nyuma ya keyboard harafu hadharani ni ngedere alinyeshewa duu sijui kama Uhuru tungeupata
 
Mleta mada acha unafiki, Pascal Mayalla ana maisha nje ya jamiiforum Kama wewe, alikuwa kazini kutafutia wanae ugali, maisha halisi ndivyo yalivyo, sometimes you side with authority to achieve your goals,

Msipende kuwaweka chambo wenzenu ili mfurahishe mioyo yenu huku mkiwasifu kwa kejeli kuwa ni "mashujaa". Everyone is responsible for his/her life, don't expect Pascal Mayalla to risk his life in order to make you happy!

Serikali ni ukuta ambao kiuhalisia kuutikisa inahitaji gharama kubwa ya kafara ya kujikana mwenyewe,

Acheni unafiki.

" If you can't fight them, join them"
Hili ndiyo neno la siku.
 
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
Flexibility. ... Ameamua kufuata mfumo wa MWANZI NA SI MWEMBE ili auepuke upepo asioweza kuuhimili!!
 
Back
Top Bottom