Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
UMESEMA KWELI, KWELI TUPUSasa mkuu ulitegemea aseme nini mbele ya kideo?
Ana familia inamtegemea
Ukitizama kwa undaaani sana utagundua njaa inaweza kukufanya mtumwa wa fikraAnaokoa uhai wake, asiopofanya hivyo dada Wakudadavuwa kwanza atafungia licence ya shughuli zake za rizki
Si uliona kampuni yake ilikuwa inakufa? Hataki kufa na yeye. Njaa mbaya
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
hakuna cha tuhuma wala nn, awamu hii ukijifanya mbabe wanakupoteza...sasa we unadhani Pascal hana roho?!
Hapo alipo tu na hiyo ID yake halisi lazima akiona land cruiser karibu mapigo ya moyo yanaongeza mwendo.hakuna cha tuhuma wala nn, awamu hii ukijifanya mbabe wanakupoteza...sasa we unadhani Pascal hana roho?!
we mwenyewe muoga unatumia fake id bora hata huyo Pascal
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
