CreativityCode
Senior Member
- Aug 8, 2020
- 158
- 653
Shabbati Shalom from Jerusalem,
Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:
Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.
Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.
Ni hayo tu.
Wikiendi njema
Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:
Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.
Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.
Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.
Ni hayo tu.
Wikiendi njema