Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,796
A walking dead party.
Mkuu analilia kitu gani?
Hata mimi nashangaaMkuu analilia kitu gani?
Niliwahi ona maono kuwa Magufuli atakufa maana haikuwa haki yake kuongoza.Kipi kingine umeshawahi pata maono kikatokea ili tufanye rejea?
Nauliza hayo kwa kuwa binafsi nipo sensitive sana na manabii na mitume wanaojituma wenyewe.
Are you out of your mind? Rudia kusoma tenaTanzania ni Nchi huru. Hakuna taifa litaamka na kwenda kuamua mshindi wa uchaguzi wa nchi nyingine.
Tambua kwamba hapo unaambiwa hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa.
Hizi ni hadithi za Yesu na wafuasi wake siyo Tanzania na wananchi wake.
Kama Magu alisema yeye ni jiwe kwelikweli haimaanishi kwamba ni lile jiwe lenyewe ambalo lilikubali kugeuzwa.
Maneno KuntuUnabii huu ni timilifu kwa asilimia lakini ni mpaka wakati utimie.. Tunda tamu sio lile la kuvumbika bali lile lililoivia mtini na kichumwa wakati wake ulipotimia
Weka link ya uzi hapa tuone. Mimi ni kama Thomaso mpaka nishuhudieNiliwahi ona maono kuwa Magufuli atakufa maana haikuwa haki yake kuongoza.
Hahahaha labda kuongoza ma genge ya ugaidiKama ni kuongoza maandamano na migomo hapo sawa ili sio nchi.
Hatutaki kubishana na utabiri wako isije ikawa tunabishana na Mungu .Shabbati Shalom from Jerusalem,
Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:
Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.
Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.
Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.
Ni hayo tu.
Wikiendi njema
Dr. Slaa asingeuzwa akabakia Chadema mpaka leo, uchaguzi wa 2025 ungeweza kutoa matokeo ya njonzi yako hii uliyoota.Shabbati Shalom from Jerusalem,
Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:
Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.
Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.
Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.
Ni hayo tu.
Wikiendi njema
Tatizo la chama chenu mnalijua wenyeweee. Tungekuwa na chama cha upinzani imara tungejaribu kuwaunga mkono ili watuleteee umeme wa uhakika wa mwalim nyerere.Shabbati Shalom from Jerusalem,
Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:
Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.
Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.
Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.
Ni hayo tu.
Wikiendi njema