Maono yangu kutoka Temple Mount: Ipo siku CHADEMA itaongoza Tanzania

Very good saed nakupa big gap mtu wa maono ipo siku itatimia kikubwa afya ili tushuhudie mabadiliko makubwa ya kiutawala nchini tanzania
 
Tanzania ni Nchi huru. Hakuna taifa litaamka na kwenda kuamua mshindi wa uchaguzi wa nchi nyingine.

Tambua kwamba hapo unaambiwa hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa.

Hizi ni hadithi za Yesu na wafuasi wake siyo Tanzania na wananchi wake.

Kama Magu alisema yeye ni jiwe kwelikweli haimaanishi kwamba ni lile jiwe lenyewe ambalo lilikubali kugeuzwa.
 
Tanzania ni Nchi huru. Hakuna taifa litaamka na kwenda kuamua mshindi wa uchaguzi wa nchi nyingine.

Tambua kwamba hapo unaambiwa hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa.

Hizi ni hadithi za Yesu na wafuasi wake siyo Tanzania na wananchi wake.

Kama Magu alisema yeye ni jiwe kwelikweli haimaanishi kwamba ni lile jiwe lenyewe ambalo lilikubali kugeuzwa.
Are you out of your mind? Rudia kusoma tena
 
CCM inajivunia katiba iliyopo na uvumilivu wa watanzania, kwa mfano kwa sasa kuna mgao wa umeme na maji lakini watanzania wapo kimya.. as if nothing has happened... hii ni nchi rahisi sana kuitawala.
 
Shabbati Shalom from Jerusalem,

Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:

Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.


Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.

Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.

Ni hayo tu.

Wikiendi njema
Hatutaki kubishana na utabiri wako isije ikawa tunabishana na Mungu .
Mi utabiri wangi ni kwamba Mbowe atahukumiwa kweda jela miongo michache na Rais Samia atamhurumia.
 
Naono tu mchwa waliofukuzwa na Magufuli wanarudi katika Chama.
Wakisharudi katika Chama wanataka kuwaondoa mchwa wanaompenda Magufuli.
 
Shabbati Shalom from Jerusalem,

Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:

Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.


Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.

Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.

Ni hayo tu.

Wikiendi njema
Dr. Slaa asingeuzwa akabakia Chadema mpaka leo, uchaguzi wa 2025 ungeweza kutoa matokeo ya njonzi yako hii uliyoota.

Lakini kwa mseto wa viongozi wa upinzani waliopo kwa sasa kwa ujumla wao, nitajie jina hata moja tu lifaalo ambalo linaweza kukubalika na waTz walio wengi.

Ujue kweli waTanzania wamechoshwa na Ccm, lakini je ni chama gani ama kiongozi gani mbadala anayeweza kukata kiu cha wana mageuzi nchini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shabbati Shalom from Jerusalem,

Brethren, nikiwa natembea hapa Temple Mount mahala lilipokuwa hekalu lililojengwa na Mfalme Solomon wa Israel yapata miaka 3000 iliyopita kabla ya kubomolewa na wababiloni, kujengwa, kisha kubomolewa tena na Warumi miaka kadhaa baada ya Yesu Kristo kupaa. Kwa wasomaji wa Bible hili ndilo hekalu alikuwa akisalia Masiha. Lakini ndilo Bwana wa Mabwana aliwaambia senashara wake 12 kuwa lingebomolewa na kwamba kusingekuwa na jiwe juu ya jiwe lisilobomoshwa. Soma hapa chini:

Luke 21: 5 (KJV) And as some spake of the temple, how it was adorned with goodly stones and gifts, he said, 6 As for these things which ye behold, the days will come, in the which there shall not be left one stone upon another, that shall not be thrown down.


Zaidi, hapa ndipo ulipojengwa msikiti wa Al Aqsa, pia kuna Dome of the Rock ambavyo vilijengwa baada ya wayahudi kutawanywa duniani kote kama watumwa baada ya kuvamiwa na warumi.

Nikiwa natembea mara nikaona maono kuwa CCM imeshindwa uchaguzi na CHADEMA na kutokana na shinikizo la kimataifa ikakubali kuachia madaraka.

Ni hayo tu.

Wikiendi njema
Tatizo la chama chenu mnalijua wenyeweee. Tungekuwa na chama cha upinzani imara tungejaribu kuwaunga mkono ili watuleteee umeme wa uhakika wa mwalim nyerere.
 
Back
Top Bottom