Nyamagembe
Member
- Apr 23, 2013
- 24
- 4
- Thread starter
- #21
Wanawake bhanaaa
tumefanyaje??
Wanawake bhanaaa
Jamani naomba maoni yenu, nina mpnz wangu hatuna mda mrefu toka tumekuwa wapenzi, nimegundua yeye ni younger than 1 for two years, mm ni mshichana, tunapendana but binafsi nilikuwa nawish mwanaume wangu awe amenizidi kuanzia mwaka 1-5. Imekaaje hapo jamani? Age is nothing or its real matter?? Na ninataka nimwambie ukweli kuhusu hilo nione naye atalipokea vp, so far tuna miezi 5 toka tuanze uhusiano. Asanteni.
tumefanyaje??
Duh umeshapata mwingine mara hii?kwanini hukumuuliza kabla hamjafikia hatua hiiJamani naomba maoni yenu, nina mpnz wangu hatuna mda mrefu toka tumekuwa wapenzi, nimegundua yeye ni younger than 1 for two years, mm ni mshichana, tunapendana but binafsi nilikuwa nawish mwanaume wangu awe amenizidi kuanzia mwaka 1-5. Imekaaje hapo jamani? Age is nothing or its real matter?? Na ninataka nimwambie ukweli kuhusu hilo nione naye atalipokea vp, so far tuna miezi 5 toka tuanze uhusiano. Asanteni.
Na we dada mgumu kuelewa.How old are you?Asante, nashukuru kwa maoni yako, na swala la kumueleza ni mapema mno au nimwambie tu ili nione response yake??
Likiwa chungu atakuja humu humu.utamu tu umemleta humu.Anatamani kuona upande mwingine wa mapenzi.au inawezekana kakutana na libaba poayani nakuona jinsi unavolikoroga!
likiwe chungu ujue utalinywa bila sukari!
mi nipo hapa!
Kachoshwa na kibamia.Hi!
Kwa nini unatamani upitwe umri? unafikiri bado kicho kitu ambacho ulitaka ukipate kwenye huo umri bado hukipati kwa huyu? Na unataka ujue reaction yake ili ndio ufanye nini? unafikiri akipuuza itakuwa imekidhi haja yako? na akionekana kutofurahia itakuwa nayo imekidhi haja yako? please tupe highlight.
Do you have a second thought?i mean an alternative so perse? maana age gape unayozungumzia ni almost negligible so long as hiyo unayosema ni true love,go with the flow huna haja hata ya kuseek opinion kwa mtu yoyote,mind you "do not ask a doubtful qns to your partner,you will increase the doubt,anyway i was just thinking aloud sio necessary uchukue huu ushauri tuwasubiri maprooJamani naomba maoni yenu, nina mpnz wangu hatuna mda mrefu toka tumekuwa wapenzi, nimegundua yeye ni younger than 1 for two years, mm ni mshichana, tunapendana but binafsi nilikuwa nawish mwanaume wangu awe amenizidi kuanzia mwaka 1-5. Imekaaje hapo jamani? Age is nothing or its real matter?? Na ninataka nimwambie ukweli kuhusu hilo nione naye atalipokea vp, so far tuna miezi 5 toka tuanze uhusiano. Asanteni.
Kachoshwa na kibamia.
Wala sijamchoka, i do love him.
kweli unanipenda halafu useme hivyo? No No you are not serious Mpwa wanguWala sijamchoka, i do love him.
kweli unanipenda halafu useme hivyo? No No you are not serious Mpwa wangu
dah mapenzi bana watu mnaanza mahusiano hamjuani majina ,wala umri muzee.ni malovee tu..damit! mi wangu diff ni 12 net mwanamke unatakiwa uwe mdogo banaWanawake bhanaaa
mmmh mwambie ila mimi sitaki mwanaume nimzidi hata dakika moja...nataka mkubwaI do real love him, nilitaka kupata maoni yenu ndugu zangu, na swala la kumwambia nilitaka ajue ili niwe na amani, coz siku akija kujua anawezakulipokea tofauti halafu itaniumiza sana. Asanteni wote, ushauri wenu nitaufanyia kazi.
dah mapenzi bana watu mnaanza mahusiano hamjuani majina ,wala umri muzee.ni malovee tu..damit! mi wangu diff ni 12 net mwanamke unatakiwa uwe mdogo bana
mimi ninapenda ila na masharti yapo sana aisee khaaaKama unapenda utawekaje masharti?