Nyamagembe
Member
- Apr 23, 2013
- 24
- 4
Jamani naomba maoni yenu, nina mpnz wangu hatuna mda mrefu toka tumekuwa wapenzi, nimegundua yeye ni younger than 1 for two years, mm ni mshichana, tunapendana but binafsi nilikuwa nawish mwanaume wangu awe amenizidi kuanzia mwaka 1-5. Imekaaje hapo jamani? Age is nothing or its real matter?? Na ninataka nimwambie ukweli kuhusu hilo nione naye atalipokea vp, so far tuna miezi 5 toka tuanze uhusiano. Asanteni.