Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,512
- 2,492
Unaendeshaji gari ya mashirika ya Ukimwi???Naimani umemaanisha Suzuki hii Sio
Unaendeshaji gari ya mashirika ya Ukimwi???Naimani umemaanisha Suzuki hii Sio
Nikutumie picha ya gari ili iweje?
🤣🤣🤣Unaendeshaji gari ya mashirika ya Ukimwi???
Mjomba Toyota Harrier tako la nyani kuingia nchini mpaka kuingia mikononi bajeti inasemaje?Mazda CX 5
Harrier
Forester
Ukihitaji clearance agent nipo.
Mitubishi outlander ile new model inasoma Tshs ngp mpaka kuingia mkononi? Na vipi kuhusu mafundi na matengenezo/spare parts?Gari za kijapan zinazotrend bongo kwa sasa:
1. Mazda CX-5
2. Toyota Vanguard
3. Toyota Harrier
4. Mitsubishi Outlander
5. Subaru Forester
Gari za Ulaya zinazotrend
1. Land rover Discovery 3 na 4
2. Volkswagen Tourage
3. Ford Escape
Unaweza pia kuwaza pickup trucks:
1. Toyota Hillux
2. Ford Ranger
3. Volkwagen Amarok
Maoni ninawaachi wengine lakini hii gari ni ya moto sana? Hiyo mpaka Bongo inahitaji bei gani?View attachment 3293212kwakweli kwa ushauri mnaonipa mpaka sasa naishindanisha hii outlander 2016 facelift na mazda CX 5 ya 2015 sasa kwenye hizi mbili nipeni maoni hii outlander mwonekano naona wa kibabe premium kuliko CX 5
Maoni yawe deep kitaalam sasa kwenye performance, fuel, and daily practicability
View attachment 3293213
22m na kuendelea unapata outlander mkuu, depends na model na ubora.Mitubishi outlander ile new model inasoma Tshs ngp mpaka kuingia mkononi? Na vipi kuhusu mafundi na matengenezo/spare parts?
Asante sana Mkuu. Ngoja nijichange change.22m na kuendelea unapata outlander mkuu, depends na model na ubora.
Nadhani toyota na mitsubishi hazina shida ya mafundi bongo mkuu.
Zinarange kuanzia 30million mpaka 35 depends sifa za gari husika na rate ya USD dollar ya wakati uliopoMjomba Toyota Harrier tako la nyani kuingia nchini mpaka kuingia mikononi bajeti inasemaje?
🤣🤣🤣We jamaa nimebidi nikaangalie hizo surf na Nisani patro sx duh. Hizo ndinga hapana kama hiyo nissan mzee mie sio profesa wa UDSM age Yangu Chini ya 40 unakuwaje na midudu kama hio
Mtaalam, nje ya mada. Natamani kurembelea Japan nikiwa na familia yangu. Vp kuhusu vivutio pamoja na possibility ya kupata visa ikoje? Ngumu au?Wadau habari zenu japo sijaja muda mrefu humu leo naomba mshuke hapo Maoni ya SuV isiyozi mil 35 ya kuishi nayo Mtanzania wa kipato Cha kati.
Nipo Japan kwasasa ila Narudi Nyumbani si muda mrefu nataka nizunguke mtaani nivute Chuma yakutua nayo Om hapo na bado sina maamuzi nitulie na Ipi. Karibuni
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi. Upo kwenye magari ya kila aina (japan)halafu unatuuliza sisi kajamba nani bongo huku gari lipi zuri ununue, kweli?Wadau habari zenu japo sijaja muda mrefu humu leo naomba mshuke hapo Maoni ya SuV isiyozi mil 35 ya kuishi nayo Mtanzania wa kipato Cha kati.
Nipo Japan kwasasa ila Narudi Nyumbani si muda mrefu nataka nizunguke mtaani nivute Chuma yakutua nayo Om hapo na bado sina maamuzi nitulie na Ipi. Karibuni
Visa za kutalii boss naimani visa huwa hazina shida ni vema ufike ubalozoni kama upo dar au ingia kwenye website uone masharti yao ya visa za utalii (japan embassy Tanzania)Mtaalam, nje ya mada. Natamani kurembelea Japan nikiwa na familia yangu. Vp kuhusu vivutio pamoja na possibility ya kupata visa ikoje? Ngumu au?