Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 3,305
- 6,500
Kwanini, sio gari imara?hapa hamna kitu atahangaika kwa mafundi tu
Kwanini, sio gari imara?hapa hamna kitu atahangaika kwa mafundi tu
Hapa sasa ndio umeshauri mkuu ila kuuliza upo Japan hujui uje na gari gani kwanza nikwambie ndugu Japan zinazoonekana barabarani sana ni gari ambazo hata Bongo pengine kuisaka unakuta anayo mhindi tu au hazizidi 10 ni matoleo mengi mapya ya miaka miwili mitatu nyuma? So mi gari hata ukiziona barabarani hapa unaweza usiwe na uwezo wa kuinunua.S
Sawa mkuu.....
Namshauri aje na Toyota vanguard au Subaru forester ya 2014
Nimezingatia
Hahahaha 😆😆😆😆Hapa sasa ndio umeshauri mkuu ila kuuliza upo Japan hujui uje na gari gani kwanza nikwambie ndugu Japan zinazoonekana barabarani sana ni gari ambazo hata Bongo pengine kuisaka unakuta anayo mhindi tu au hazizidi 10 ni matoleo mengi mapya ya miaka miwili mitatu nyuma? So mi gari hata ukiziona barabarani hapa unaweza usiwe na uwezo wa kuinunua.
Acha masihala mkuu kuna gari Tangu nifike Japan sijawahi ziona unaweza amini Anaconda inayovuma Bongo hio Harrier nishaziona 2 tu? Ist moja tu kuna ambazo ndio sijawahi ziona kabisa kabisa hata kwa dawa lakini haipiti dakika 10 ukiwa bongo kabla hujaiona. Harrier tako la Nyani sijawahionana nayoHahahaha 😆😆😆😆
Nilijua Huko Japan ni kama bongo kwamba ukiingia barabarani unakutana na carina Ti na IST kumbe sio kabisaa
Ila hizi zote sio full suv by definition ni crossover. Ila ni machaguo sahihi hasa kwa mazingira yetu1.Rav 4 zile model za katikati sio old wala new model (kwa context ya kibongobongo)
2.Forester
3.Mitsubishi RVR
4.Suzuki Grand Vitara new model
5.Harrier au Kluger
Kweli sisi tunaishi dunia ya tatuAcha masihala mkuu kuna gari Tangu nifike Japan sijawahi ziona unaweza amini Anaconda inayovuma Bongo hio Harrier nishaziona 2 tu? Ist moja tu kuna ambazo ndio sijawahi ziona kabisa kabisa hata kwa dawa lakini haipiti dakika 10 ukiwa bongo kabla hujaiona. Harrier tako la Nyani sijawahionana nayo
Jamaa wana mazingira mazuri ya kumiliki gari za kisasa lakini gari za zamani kwao ni mzigo kuna kitu inaitwa Shaken (ukaguzi wa gari) kadri inavokula miaka inatozwa kubwa sana inawafosi waache magari ya zamani.Kweli sisi tunaishi dunia ya tatu
Aisee asante kwa elimu hiiJamaa wana mazingira mazuri ya kumiliki gari za kisasa lakini gari za zamani kwao ni mzigo kuna kitu inaitwa Shaken (ukaguzi wa gari) kadri inavokula miaka inatozwa kubwa sana inawafosi waache magari ya zamani.
Pili wananunua magari kwa instalments yani option hiyo pamoja na trade in inafanya wawe huru kwa magari mapya
Naaam chiefNaimani umemaanisha Suzuki hii Sio
Sahihi chief ..mid size crossoverIla hizi zote sio full suv by definition ni crossover. Ila ni machaguo sahihi hasa kwa mazingira yetu