SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Hizi shule ni janga la taifa. Nimekuta shule moja ya sekondari ya kata yenye wanafunzi 300 walimu 4!!
shule za kata zilianza kabla ya mbayuwayu.zilianza wakati wa mkapa mwaka 2003.Mbayuwayu aliziendeleza vibaya.Baada tu ya Mh J. K kuingia madarakani alikuja na mpango wa shule za sekondari maaruf kama SHULE ZA KATA na mwaka 2006 shule hz zilijengwa kwa kasi ya ajabu na hatimae kuanza tena nyingine zilichelewa kuanza mpk mwez March. Tujaribu kufanya tathmin kidogoJuzi bungen aliwatambulisha wanafunz 20 bora ktk mtihan wa kidato cha sita, kati ya hao aliwataja wanafunz 7 kuwa ni zao la shule za kata. Nimejaribu kufanya mahesabu yaliyonichanganya kidogo, nikaanza form 1 mwaka 2006- form 4 mwaka 2009. Form 5 mwaka 2010- form 6 mwaka 2012 feb. Sasa hawa waliopongezwa walisoma ktk shule za kata kweli?, walianza shule mwaka gan?, je wakati huo shule za kata zilikua tayari?. TAFAKARI
ok but shule mojawapo iliyotajwa kuwa ni zao kat ya watoto 7 wa shule za kata ni KIKUYU SEC mkoan Dodoma, hii ilianza kabla ya huo mwaka wa 2003.shule za kata zilianza kabla ya mbayuwayu.zilianza wakati wa mkapa mwaka 2003.Mbayuwayu aliziendeleza vibaya.
Kwa jinsi matokeo yalivo katika shule hizi za kata,...
Ni wakati sasa wa kutafuta ufumbuzi maalumu kuhusu elimu ya watoto wa Tanzania wasio na uwezo wa kusoma shule za kimataifa (International).
Tusije kuwa tuna kimbilia kutimiza malengo ya milenia kwa kuzalisha makada (mazuzu) wengi ambao ni kama bomu baadae!
kwa matokeo haya?
kwa mfano:
shule ina wanafunzi 207
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 18 DIV-IV = 109 FLD = 79
View attachment 21441
hawa waliofeli ni kama bomu ambalo siku likiripuka,sipati kutoa mfano!
Naamini kabisa kwamba wangeweza kufanya vyema,ila mazingira wanayo somea mmmh!
<br />shule za kata ndio bora zaidi duniani,watoto wa viongozi wote wamesoma humo, maprofessor wetu wote walianzia huko. Asiyekubali kuona ukweli huo hawezi kunusa.