MAONI: Shule za kata zifikiriwe upya

Pamoja na hayo,bado naamini kabisa kwamba mtu aliye feli hawezi kukufundisha uka faulu,....
binafsi nakumbuka kugombana na walimu kibao toka primary pale unapo muuliza swali kwa msisitizo ukitaka kujua nae hajui,......


Ni sawa ndugu yangu, lakini unajua ni kwa nini waliofeli ndo wanaenda ualimu? serikali ndo inatakiwa kubeba lawama zote manake ualimu ndo chaguo la mwisho baada ya posts nyingine kushindikana. Pia hata waliofaulu wapo wengi tu, mfano huwezi kuniambia mtu aliye na shahada ya ualimu alifeli. Tatizo hawaendi kufundisha kwa sababu ya maslahi mabovu. Kwa hiyo wanaenda sehemu zinazolipa.
 
Sasa we utategemeaje kazi isiyolipa vizuri wala kuthaminiwa WASOMI waikimbilie??Itabaki kua ya vilaza mpaka watakapoboresha swala la mishahara na makazi ya walimu!

Uko sahihi mkuu tena zaidi ya 100%, We angalia tu hao maprofessor kwa nini wanaacha kufanya utafiti na kufundisha katika vyuo vikuu vya Tanzania? wengine hukimbilia nje ya nchi na asilimia kubwa wanakwenda kwenye siasa. Kikubwa ni maslahi.
 
Uko sahihi mkuu tena zaidi ya 100%, We angalia tu hao maprofessor kwa nini wanaacha kufanya utafiti na kufundisha katika vyuo vikuu vya Tanzania? wengine hukimbilia nje ya nchi na asilimia kubwa wanakwenda kwenye siasa. Kikubwa ni maslahi.

Hapo sasa!Watu wanabaki kulalamika walimu walimu wakati tatizo linaanzia serikalini!!Ipo siku hata hao walimu vilaza watakosekana kwa kupata njia nyingine za kuishi!It's just a matter of time!
 
Hapo sasa!Watu wanabaki kulalamika walimu walimu wakati tatizo linaanzia serikalini!!Ipo siku hata hao walimu vilaza watakosekana kwa kupata njia nyingine za kuishi!It's just a matter of time!

here we go again,kumbe tatizo linarudi serikalini!
Me najiuliza,hivi ni walimu tu,hata kama ni waliofeli,....au na wanafunzi siku hizi ndo vichwa vimejaa mambo mengi?
Tutapata ufumbuzi kweli au tutakuwa tunalalamika kila baada ya matokeo na maumivu yakipoa tunasahau?
 
Uko sahihi mkuu tena zaidi ya 100%, We angalia tu hao maprofessor kwa nini wanaacha kufanya utafiti na kufundisha katika vyuo vikuu vya Tanzania? wengine hukimbilia nje ya nchi na asilimia kubwa wanakwenda kwenye siasa. Kikubwa ni maslahi.

Tuko pamoja katika hilo,kwa tatizo ni masilahi,.....???
Ngoja tusubiri matokeo ya mwaka huu labda yatakuwa mazuri si kikwete aliwaongezea mshahara mwaka jana wakakaa kimya maana unatosha,ngoja tuone tena
 
Maisha Tanzania ni tofauti sana. Waliofauli ndio baadaye watakuwa mabomu; waliofeli tangia sasa wanajifahamu wao si wa kuajiriwa moja kwa moja wanajikita kwenye ujasiria mali; baada ya miaka kama 7, yule wa Div. II atakuwa mtu mdogo sana kwa baadhi ya failure. The rate of increase in University graduates is inversely proportional to rate of creating new employment. Mabomu yanazalishwa vyuo vikuu na siyo wale wanaoishia Form IV

sure! mzee ulianguka nini?
 
Shule za kata ni Ideal policy, zinatakiwa ziwepo na ziongezewe kila kijiji iwe na sekondari

Kufeli ni price ambayo tunatakiwa kuilipa siku za mwanzo..ni sawa na wale waliomaliza la saba bila kwenda sekondari kwakuwa hazipo (price)

Swala la kuongeza shule, kuboresha shule na walimu kwa ngazi zote liwe ajenda ya kudumu ya serikali iwe cdm,cuf, ccm

Asiyetaka shule za kata ni mhalifu na mbaguzi..hutaki mtoto wa nani siende sekondari eti amefaulu lakini hakuchaguliwa? nyerere time!!!
 
here we go again,kumbe tatizo linarudi serikalini!
Me najiuliza,hivi ni walimu tu,hata kama ni waliofeli,....au na wanafunzi siku hizi ndo vichwa vimejaa mambo mengi?
Tutapata ufumbuzi kweli au tutakuwa tunalalamika kila baada ya matokeo na maumivu yakipoa tunasahau?

Kufeli si tatizo la walimu tu?

Ni mchanganyiko wa mambo tofauti tofauti kutegemeana na sehemu?

Nafikiri shule ziongezwe na kuboreshwa pia.
 
here we go again,kumbe tatizo linarudi serikalini!
Me najiuliza,hivi ni walimu tu,hata kama ni waliofeli,....au na wanafunzi siku hizi ndo vichwa vimejaa mambo mengi?
Tutapata ufumbuzi kweli au tutakuwa tunalalamika kila baada ya matokeo na maumivu yakipoa tunasahau?

We unaona linaanzia wapi kama sio wanaosababisha watu wenye akili zao waitenge hiyo kazi??Maana naona kubisha huwezi..kukubali ukweli nako hutaki!
 
We unaona linaanzia wapi kama sio wanaosababisha watu wenye akili zao waitenge hiyo kazi??Maana naona kubisha huwezi..kukubali ukweli nako hutaki!

mwanzoni nilikuwa na njaa nikajua akili yangu haijatulia nile kwanza ndo ntaelewa unamaanisha nini ila mh bado!
 
Kwa jinsi matokeo yalivo katika shule hizi za kata,...
Ni wakati sasa wa kutafuta ufumbuzi maalumu kuhusu elimu ya watoto wa Tanzania wasio na uwezo wa kusoma shule za kimataifa (International).

Tusije kuwa tuna kimbilia kutimiza malengo ya milenia kwa kuzalisha makada (mazuzu) wengi ambao ni kama bomu baadae!

kwa matokeo haya?
kwa mfano:
shule ina wanafunzi 207
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 18 DIV-IV = 109 FLD = 79
View attachment 21441
hawa waliofeli ni kama bomu ambalo siku likiripuka,sipati kutoa mfano!
Naamini kabisa kwamba wangeweza kufanya vyema,ila mazingira wanayo somea mmmh!

First Lady wa Tanzania wakati wa kampeni aliisifu ilani ya CCM kwamba wame-accomplish kujenga shule ya sekondari kila kata nchi nzima. Sasa matokeo yake ndio hayo. Wanachojali ni ufunguzi wa shule na vyuo na sio ubora wa elimu. Tutavuna tulichopanda!!
 
Tofauti na nchi zilizoendelea, walimu wetu wengi hawakuwa na interest ya kuwa walimu. Kuwa mwalimu Tanzania ni option ya mwisho. Baada ya kuhangaika huko na huko na kukosa sehemu ya kwenda ndio mtu anaamua tuu potelea mbali akasomee ualimu. Matokeo yake unakuta tunakuwa na walimu ambao sio tuu hawakuwa sifa za kuwa walimu bali pia hawakuwa na nia hiyo in the first place.

Kuwa mwalimu sio rahisi kama wengi wetu tunavyofikiria. Inahitaji dedication kubwa sana. Ualimu ni kipaji. Juzi juzi nilisoma kuwa wizara husika imecreate nafasi nyingi za ualimu. Lakini suala ni kwamba hawa "walimu" wanaotarajiwa kujaza hizo nafasi, do they actually want to be teachers, or is just because they dont have other altenatives? Hata kama wana nia ya kuwa walimu, watakubali kwenda kufanya kazi kwenye hizo shule za kata ambazo hata vitendea kazi vya kawaida kwa mwalimu havipo?

Tofauti na zamani, siku hizi kuna matabaka kwenye sekta ya elimu. Walichonacho watawapeleka watoto wao kwenye shule nzuri. Kwa wale wasio nacho, watoto wao wataishia kwenye hizi shule za kata. Sidhani kama kuna mbunge yoyote atampeleka mtoto wake kwenye shule ya kata. Hata ingekuwa mimi mbunge nisingempeleka mtoto wangu kwenye shule ya kata. Matokeo yake unakuta wanaokwenda kwenye hizi shule ni watoto wa wale wasiokuwanacho. Kwa matokeo ya mitihani hii sidhani kama walionzisha hizi shule wanaweza kujivunia kwa wametatua tatizo la elimu nchini.

Kuna umuhimu mkubwa wa kufikiria madhumuni ya kuanzishwa kwa hizi shule. Inawezekana kuna lengo zuri kabisa la hizi shule, lakini implementation imekuwa mbovu.
 
Tofauti na nchi zilizoendelea, walimu wetu wengi hawakuwa na interest ya kuwa walimu. Kuwa mwalimu Tanzania ni option ya mwisho. Baada ya kuhangaika huko na huko na kukosa sehemu ya kwenda ndio mtu anaamua tuu potelea mbali akasomee ualimu. Matokeo yake unakuta tunakuwa na walimu ambao sio tuu hawakuwa sifa za kuwa walimu bali pia hawakuwa na nia hiyo in the first place.

Kuwa mwalimu sio rahisi kama wengi wetu tunavyofikiria. Inahitaji dedication kubwa sana. Ualimu ni kipaji. Juzi juzi nilisoma kuwa wizara husika imecreate nafasi nyingi za ualimu. Lakini suala ni kwamba hawa "walimu" wanaotarajiwa kujaza hizo nafasi, do they actually want to be teachers, or is just because they dont have other altenatives? Hata kama wana nia ya kuwa walimu, watakubali kwenda kufanya kazi kwenye hizo shule za kata ambazo hata vitendea kazi vya kawaida kwa mwalimu havipo?

Tofauti na zamani, siku hizi kuna matabaka kwenye sekta ya elimu. Walichonacho watawapeleka watoto wao kwenye shule nzuri. Kwa wale wasio nacho, watoto wao wataishia kwenye hizi shule za kata. Sidhani kama kuna mbunge yoyote atampeleka mtoto wake kwenye shule ya kata. Hata ingekuwa mimi mbunge nisingempeleka mtoto wangu kwenye shule ya kata. Matokeo yake unakuta wanaokwenda kwenye hizi shule ni watoto wa wale wasiokuwanacho. Kwa matokeo ya mitihani hii sidhani kama walionzisha hizi shule wanaweza kujivunia kwa wametatua tatizo la elimu nchini.

Kuna umuhimu mkubwa wa kufikiria madhumuni ya kuanzishwa kwa hizi shule. Inawezekana kuna lengo zuri kabisa la hizi shule, lakini implementation imekuwa mbovu.

Me nilisema tatizo ni walimu wasio na sifa ndo maana wanafunzi wanafeli hata kama walimu ni wachache wangekuwa walimu wazuri wangefaulisha wanafunzi
 
CCM hawataki kuwapatia walimu mishahara inayokidhi mahitaji kwa mwezi, wamekalia kujenga madarasa, na bado huo ni mwanzo. Huko mbele hata hizo four zitakuwa hadithi, itabaki ziro tu. Walimu endeleeni na mgomo baridi hadi kitaeleweka. Wenyewe wanalipana mishahara mikubwa sana na posho za kumwaga. Aluta continua walimu.
 
Ndugu zangu hiyo imefanya vizuri. Kuna moja hapa Bariadi ina wanafunzi 237:
Division four 4, waliobaki ni zero.

Wenye mamlaka wakisimama jukwaani utwasikia wanavyo jisifia sasa hapo wanafunzi si wamepoteza mda wao! si bora wangekuwa wanalima tu kieleweke
 
Afu naskia nusu ya watahiniwa wamepata zero,yaani wengine nusu ndo wamefaulu kwa 1,2,3,4 duh
 
Nilisikiliza bunge kwa hoja ya kufeli wanafunzi wa kudato cha nne, lakini naona chama tawala kwa mujibu wa maelezo ya wabunge walio wengi, wanaona ni kitendo cha kawaida sana, hadi wengi wao wanathubutu kusema, hiyo Division Four na zero, zitawasaidia wasichana kupata wachumba kwa wingi sababu, eti wanaume wengi wanahitaji wasomi.
Hivi ukiwa mbunge makini, unaweza kusema utumbo kama huo bungeni, tena na wananchi wake waliompeleka wanamsikiliza?
Rejeeni wazo la komba kaptain, utumbo tupu, hivi wanapataje hayo madaraka? Nadhani uchakachuaji tu
 
Back
Top Bottom