MAONI na MAPENDEKEZO ya CUF kwa Rais Kikwete: Soma nyaraka nzima...

Safi kabisa sasa maneno haya ndio nayazungumza kwa Chadema. Wewe usitake kuzungumzia Chadema kwa kuwatazama hawa jamaa wa hapa JF maana sii Wanachadema wa kweli bali ni mapandiki ama malimbukeni walojikuta ktk Uchadema bila kujua..

Iweje hawa viongozi wa Chadema ambao ni minority wamevaa nguo za kondoo ndio wawe sababu lakini unawatazama waarabu minority walovaa pia ngozi ya kondoo kwa jicho tofauti kufikia maamuzi ya imani yako. Can't U read my lips?

Mkandara tatizo huelewi uarabu ni nini. Uarabu ni lugha, haukuanzia wala kuishia kwenye rangi. Na Allah alipochaguwa kuishusha Qur'an kwa kiarabu hakufanya makosa. Imagine uarabu ndio ungekuwa Taifa fulani na si lugha tu ingekuwaje? ikiwa hivi sasa tu mna"confuse" waarabu na kuwaandika kama vile ni kundi la watu wa aina fulani.
 
Sijaelewa unataka kusema nini? nilipo underline...

Are saying Chadema as a party and its leadership wanafuata kitabu chao au hawafuati? plus chadema fans..or (diehard chadema) who are constantly against islam or muslim by their deeds..wameshawalaani hadharani wakati wao ni member wa kudumu hapa?? please..don't fool people
Unajkua mkuu wangu Tatizo lako unatumia sana kufikiri badala ya kusoma na kuelewa...Nachosema mimi na tulikoanzia wewe umenambia unanishangaa mimi kuwa Chadema wakati hawa watu wanaukashifu Uislaam. Nikasema mimi nafuata malengo ya chama, maadam katiba yao, sera zao na ilani zao zinapigania kile ambacho mimi nakiona kina manufaa kwa Taifa ndio maana nimejiunga na chama hiki. Sasa hizo sababu za WATU sijui viongozi na wengineo wote mimi siwatazami wao isipokuwa vita hii ya kumwondoa CCM madarakani. CCM ambayo kwa kila sababu kama Muislaam nina haki ya kuichukia kwa sababu ndio ilokataa IOC wakati Chadema na CUF walichuwa chama. Ndio waloipiga marufuku Balukta kwa kutuita magaidi wakituchagulia Mufti na viongozi bila ridhaa ya waislaam..hata ikafikia kufunga na kuua baadhi ya viongozi wetu.. hawa siwezi kuwapa support yangu kwa sababu tu kuna waislaam ndani yake ama Chadema ina wakristu..

Kwa hiyo basi kama waarabu ni washenzi na bado leo hii mimi ni Muislaam kwa sababu ya kitabu bila shaka kwa hekima hiyo hiyo inanifanya mimi niwe Chadema kwa sababu nafuata mafundisho yao hata kama wao hawafuati lakini lengo langu ni kuipata haki. Kesho kikitokea chama cha Kihafidhina chenye mwelekeo kama wangu na wakaifanya kazi moja kubwa ya kuondoa urithi wa chama kimoja cha Udikteta ambacho kiemzaa Ufisadi nchini na kunadhalilisha wananchi wake bila shaka nitawaunga mkono pia...
 
@mkandara

Nafikiri maoni yao yakipelekwa bungeni tena (wakati wa marekebisho) yataboresha sheria hii..

Plus yale mapendekezo ya chadema..

wakati huo labda sisi watanzania tutapata mjadala mzuri tulioukosa baada ya chadema kuchafua hali hewa..

Mimi naona CUF wako very "Constructive" wameacha mambo ya kutaka kuvunja muungano etc..

Actually wanafanya siasa za kistaarabu sana kwa sasa..big up..

mpenzi una mapwointi.............leta basi mboga tupike ugali mpenzi.
Si unajua njaa mbaya!!! nisije nikampa kakao hapa anataka kuninunulia chips
 
Mkandara tatizo huelewi uarabu ni nini. Uarabu ni lugha, haukuanzia wala kuishia kwenye rangi. Na Allah alipochaguwa kuishusha Qur'an kwa kiarabu hakufanya makosa. Imagine uarabu ndio ungekuwa Taifa fulani na si lugha tu ingekuwaje? ikiwa hivi sasa tu mna"confuse" waarabu na kuwaandika kama vile ni kundi la watu wa aina fulani.
tupe soma mamaaaa........uarabu kitu gani, wengine hawajui hapa..........mi najua uarabu maana yake kila kitu.
hawajui tu hawa...........wanachekesha.
 
Mkandara tatizo huelewi uarabu ni nini. Uarabu ni lugha, haukuanzia wala kuishia kwenye rangi. Na Allah alipochaguwa kuishusha Qur'an kwa kiarabu hakufanya makosa. Imagine uarabu ndio ungekuwa Taifa fulani na si lugha tu ingekuwaje? ikiwa hivi sasa tu mna"confuse" waarabu na kuwaandika kama vile ni kundi la watu wa aina fulani.
Waarabu ni race kama unavyoweza kusema kundi la watu weusi kuitwa Wabantu..Hao waarabu wa lugha wamekuwa Arabanised lakini sii waarabu kwa sababu ktk race yao wapo pamoja na Wayahudi na wanaitwa Semitic. Ukimwona mwarabu utamjua tofauti kama unayoweza kuiona ktk race nyinginezo wala sii lugha tu. Mbantu kuzungumza kiarabu haina maana yeye ni mwarabu kama wewe vile unavyoongea kiingereza, haijakupa Uzungu bibie!

Kwa hiyo, zipo nchi za kiarabu kama tulivyo na nchi za Kiafrika isipokuwa wao nadhani ndio kundi kubwa ktk races duniani linalotumia lugha moja na tofauti zao ni ndogo sana za accent na baadhi ya matamshi..
 
Mi naulizaaaa.......kwani CUF wamekosea nini?
Si tunataka maoni yatolewe... yakhe...kwani Cuf wao hawawezi kutoa maoni??
nauliza tu miewa Tegeta...heee!!!
 
Duh, nimeandika mengi hadi nachefua maanake..

Nilishawahi kukuambia zamani, fupisha kuandika utaeleweka kiurahisi. Mara nyingi watu wa kwenye hizi forum wako na risala ndeefu huwa hawaisomi yote. Jifunze ku "summarize".
 
Nilishawahi kukuambia zamani, fupisha kuandika utaeleweka kiurahisi. Mara nyingi watu Wa kwenye hizi forum wako na risala ndeefu huwa hawaisomi yote. Jifunze ku "summarize".
Kumbe bado mvivu.............basi hata hiyo doc ya wenzentu hujaisoma weye!!
wabwabwaja tu.
 
Nilishawahi kukuambia zamani, fupisha kuandika utaeleweka kiurahisi. Mara nyingi watu wa kwenye hizi forum wako na risala ndeefu huwa hawaisomi yote. Jifunze ku "summarize".
Hilo lako wewe lakini nimesomeka kwa waliotaka elewa natoa mchango gani sababu hapa nilikuwa naupitia waraka wa CUF na kutoa mapendekezo yangu kulingana na waraka huo.
I do write Ideas na sii udaku wa kuzungumzia watu na matukio...
 
Nilishawahi kukuambia zamani, fupisha kuandika utaeleweka kiurahisi. Mara nyingi watu wa kwenye hizi forum wako na risala ndeefu huwa hawaisomi yote. Jifunze ku "summarize".
inaeleweka na iko vere vere klia kuwa CUF ni zao la chama cha kigaidi cha HIZBU ambacho kilimfanya Salim Ahmed Salim pamoja na usafi na weledi wake akose sifa ya kuwa Rais wetu. Cuf ni ugaidi
 
inaeleweka na iko vere vere klia kuwa CUF ni zao la chama cha kigaidi cha HIZBU ambacho kilimfanya Salim Ahmed Salim pamoja na usafi na weledi wake akose sifa ya kuwa Rais wetu. Cuf ni ugaidi[/QUOTE;

hakuna kiongozi atakayekubalika na Chadema kama hakubaliki na kanisa.ona zitto anavyonyanyaswa,ona chadema inavyokubalika maeneo yenye wakristo wengi,mfano kilimanjaro.ona padre slaa alivyonadiwa wazi wazi na maaskofu na mapadre wenzake.ona waumini walivyotengwa na kanisa kule sumbawanga kwa sababu walipinga chadema.
 
Waarabu ni race kama unavyoweza kusema kundi la watu weusi kuitwa Wabantu..Hao waarabu wa lugha wamekuwa Arabanised lakini sii waarabu kwa sababu ktk race yao wapo pamoja na Wayahudi na wanaitwa Semitic. Ukimwona mwarabu utamjua tofauti kama unayoweza kuiona ktk race nyinginezo wala sii lugha tu. Mbantu kuzungumza kiarabu haina maana yeye ni mwarabu kama wewe vile unavyoongea kiingereza, haijakupa Uzungu bibie!

Kwa hiyo, zipo nchi za kiarabu kama tulivyo na nchi za Kiafrika isipokuwa wao nadhani ndio kundi kubwa ktk races duniani linalotumia lugha moja na tofauti zao ni ndogo sana za accent na baadhi ya matamshi..

Nakusikitikia sana kutaka kuandika vitu usivyovielewa na kupenda kwako kujifunza kwa kujifanya unaelewa, huwezi kupata ilmu kwa kujifanya unajuwa, utabaki unababia babia. Jifunze sana, bado una mengi ya kujifunza hususan kuhusu "race" na "languages".

Ngoja nikupe darsa dogo:

Usomi umesitisha kutambua watu wa Mataifa tofauti kutokana na "race" zao ispokuwa ma "anthropologist" ambao wanaitumia hiyo "term" kwa uchache na inapobidi. Tofauti za binadaam ki baiolojia siku hizi zinazungumiwa na term kama "allele". Dunia iko kwenye kuwatambua binadaam kwa "genes" (hili neno la kiarabu) zao zaidi na si "race" zao.

Usishangae nikikuambia leo kuwa Waingereza weupe wanafanana sana "genes" zao na Wabantu kuliko watu wengine.

Hat hapo "races" zilipokuwa zinatumika, kulikuwa kuna "race" kubwa tatu na katika hizo hakuna "race" ya Kiarabu. Na "race" kubwa, inasemekana ilikuwa ni "Mongoloids".

Ukitaka kujuwa mengi kuhusu hili la races na languages tafadhali uende taratibu na usitake kupaparikia ni fani inayohitaji kisomo cha aina fulani na si ushabiki wa vijiweni.
 
Hapa nataka kuuliza CUF mliisoma sheria hiyo ya marekebisho ya katiba baada ya kupitishwa na bunge au kabla au baada ya malalamiko wadau na CHADEMA ya kua inamapungufu?Kwa sababu kama mligundua hayo tungelisikia msimamo wenu wakati wa kuijadili bungeni,ambapo tulishuhudia wabunge wa CUF na CCM kutumia muda mwingi kumjadili Tindu Lissu na CHADEMA badala ya mswada wenyewe na hatimaye kuupitisha kwa mbwembwe.Kwa mantiki hii sikuona umuhimu wenu kukutana na Rais.Usanii mtupu MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Nashukuru ndugu yangu Advocate Jasha, katika hali ya kawaida tunategemea wabunge wanawakilisha mawazo ya wananchi na Chama chao, lakini kwa kilichotokea kinaonesha kwa hiki chama chetu kuna walakini kwamba muda mwingu unatumika kushangilia CCM kule bungeni kumbe yapo mawazo mazuri kama haya lakini akina Hamad Rashid walijijengea sifa kwamba ni watu makini hawayatoi kule mjengoni kulikoni? Katika hali ya namna hii kujitoa kwenye imani ya watanzania&nbsp;iliyoanza kujengeka kwamba CUF ni CCM -B itakuwa ni kazi ngumu kweli. Lakini kati ya haya mojawapo linawezekana:<BR>1. Kwamba katika CUF hatuaminiani kiasi cha wabunge wetu kushangilia kupitishwa kwa sheria hiyo huku viongozi wengine wakiona kuna haja ya kubadilisha baadhi ya mambo ambapo katika hali ya kawaida tunafikili kwamba nafasi hiyo ilikuwa Bungeni kule ugogoni. <BR>2. Kwamba CUF tunafikili kufuata nyayo za CHADEMA ndiyo kutatujenga kisiasa kitu ambacho ni hatari kama ambavyo CCM wamejaribu lakini inawawia vigumu kutekeleza (<EM>mkitaka nitawapa mfano wa kushindwa</EM>)<BR>3. Kwamba hakuna kazi ya kufanya itakayotutangaza kisiasa hadi tuonane na Mhe. Rais wa JMT Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ndiyo tutafanikiwa kupata mvuto kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom