Maoni: Dkt. Batilda Buriani ameshushwa mno kuteuliwa kuwa Katibu Tawala

Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Ukipenda kuajiriwa huku unakwepa kushika jembe ukalime, tegemea kudharauliwa na kudhalilika
 
Mam HV haoni watu wengine ama nayey ancontoliwaa bas nimeamini kikwete Yuko madarakani Bado huu Ni ulikuwa upuuzi wake mtu kasha kuwa Hadi mbunge Bado haitoshi balozi ..alfu Bado anangangania kina kafulila kina cjui wapuuuzi gan gani. Mama huyu atakujakudharaulikas sana
 
Inabidi tupige kelel mama kuachna na ujinga huu wa jpm na kikwete wa kuwarundikia watu maarufu nafsi ktk serekalini mfano william erio pesa zote hizo alizo tafuna ukurugenzi miakaa yake yote Bado anangangania tu wann wa kazi gani
 
Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Ukiwa na njaa chakula ni chakula tuu... Tatizo nilionalo hapo ni mtu kutafutiwa ahueni ya maisha.... Kutoka nafasi kubwa hizo za ubalozi,kukaa benchi i.e uwezo nao ushafifia. Alipaswa sasa awe amewekeza viwandani, mashambani, mifugo n.k.na kuajiri watanzania....tatizo linakuja hawajiandaagi na maisha nje ya SI-HASA. Wakajifunza kwa mzee Pinda,Mkwere n.k
 
Uko sawa Mkuu, aliwahi kuwa balozi Japan na Kenya na bado ana hadhi yake kama Balozi.

Aliisha kuwa Waziri hapo mipango pia!!! Hapo kwenye kuwa RAS mtamtesa sana , ingependeza kama mnamuhitaji sana awe hata mkuu wa mkoa!!! Inaelekea hao washauri wa mama hawasomi CV za watu wanaowapendekeza?

Kama wakina Adam Malima walitoka kwenye unaibu Waziri na kuwa wakuu wa mkoa kwanini huyu aliyekuwa waziri kamili asiwe RC? There has to be some consistency in these appointments.
 
Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Huyu ndio alikomaa na kesi ya kufuta matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Lema pale Arusha mjini. Kama alikuwa mbunge, kuwa Katibu Tawala wa mkoa ni sawa tu, na ubalozi si ni hadhi tu kama udaktari au uhandisi (japo hizo nyingine ni za kielimu)

Screenshot_20210531-075317_Lite.jpg
 
Nimeona Ndugu mmoja aliyekuwa na cheo cha Waziri, Balozi na hatimaye kuja kuteuliwa kuwa Katibu Tawala. Kwa ushauri wangu huyu sasa angepaswa kupumzika na kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi fulani. Kweli mtu alikuwa Mhe. Waziri leo anakuwa Katibu Tawala?.
 
Aliisha kuwa Waziri hapo mipango pia!!! Hapo kwenye kuwa RAS mtamtesa sana , ingependeza kama mnamuhitaji sana awe hata mkuu wa mkoa!!! Inaelekea hao washauri wa mama hawasomi CV za watu wanaowapendekeza?

Kama wakina Adam Malima walitoka kwenye unaibu Waziri na kuwa wakuu wa mkoa kwanini huyu aliyekuwa waziri kamili asiwe RC? There has to be some consistency in these appointments.
Huyu maza teuzi zake anazijua mwenyewe
 

KUTOKA KUWA WAZIRI, BALOZI NA SASA KUWA KATIBU TAWALA.​


Kama ni mimi Natakaaa
 
Nimeona Ndugu mmoja aliyekuwa na cheo cha Waziri, Balozi na hatimaye kuja kuteuliwa kuwa Katibu Tawala. Kwa ushauri wangu huyu sasa angepaswa kupumzika na kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi fulani. Kweli mtu alikuwa Mhe. Waziri leo anakuwa Katibu Tawala?.
Yaani ni mambo ya aibu tupu
 
Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Labda vyuma vimekaza na katumia connections zake japo aate hiyo post..
 
Dk. Batilda Buriani Alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa? Ni kudhalilishwa mno, ni MAWAZO yangu. Angepewa hata ukuu wa Mkoa
Alikuwa mchepuko wa Lowasa,kipindi anagombea ubunge Arusha mjini,2010,hana jipya,anakitu gani Cha upekee!?hapo ashukuru tu,maana lazima Kikwete amemuombea apatiwe Ka nafasi asije kufa njaa,huyu hakutakiwa kurudi kabisa,mtu alikuwa Mbunge 2010!amekuwa Balozi,miaka 11 baadae,anapewa nafasi Tena kwenye utumishi wa umma,tujiulize miaka yote hiyo alikuwa anafanya nini?ana biashara,alikuwa anasoma,
Mh Raisi hizi teuzi zake hazina tija kwa Taifa,Urafiki umejaa sana.Utumishi wa umma sio sehemu ya kwenda kuzeekea,ni sehemu ya kujenga nchi,sasa hivi vizee anavyoteua vya Kazi gani?
 
Back
Top Bottom