napo ni safi tu maana mungu amempa binadamu uwezo wa kujitalawa mwenyew kimaamziUkifanya kazi tu bila sala inakuaje ?
Maombi si mabaya kiivo, kwani yanampa tumaini muombaji kuwa atafanikisha analolifanya (lazima uwe unafanya kitu na si kuomba na kukaa)Mimi BushDokta kwa sasa nikisikia tu hata sauti inayoambatana na mambo ya makanisa au misikiti nachukia Sana.
Nikimwona mtu anaomba moja Kwa moja namuona kama aliyerukwa na akili na hajielewi.
Maombi hayana effect yoyote na hayana kazi kwenye maisha ya Binadamu. Ni upo
Ni saikolojia Tu kumbe hakuna nguvu yoyote ya kiroho wala ya KimunguMaombi si mabaya kiivo, kwani yanampa tumaini muombaji kuwa atafanikisha analolifanya (lazima uwe unafanya kitu na si kuomba na kukaa)
Maombi yasaidie muombaji kutokata tamaa hivyo aendelee na analofanya mpaka aone matokeo.
Ni saikolojia.....
Daah! Pole sana, vipi maendeleo yako?Maombi sio kitu naunga mkono
Kwanza tunayemuomba hatuna uhakika kama yupo
Unaomba afya unaumwa
Ni saikolojiaNi saikolojia Tu kumbe hakuna nguvu yoyote ya kiroho wala ya Kimungu
Hivyo ndivyo unadanganywa pale Imani zenu za uongo zinaofeli kuleta matarajioMaombi yako hayajibiwi labda una imani dhaifu au huongezi juhudi kupata unachoomba au muda wake wa kujibiwa bado
YESU, ALLAH, YEHOVA, ELISHADAI, ELOHIM, BWANA WA MAJESHI, MUNGU, GOD, haya yote ni majina ya kutungwa ya kukipa uwezo kiumbe ambacho hakipo kwa madhumuni ya kuwadanganya watu.Maombi sio kitu naunga mkono
Kwanza tunayemuomba hatuna uhakika kama yupo
Unaomba afya unaumwa
DuhMaombi sio kitu naunga mkono
Kwanza tunayemuomba hatuna uhakika kama yupo
Unaomba afya unaumwa