Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,305
- 166,498
Hapa ofisini kwetu kuna kaka mmoja mwanasheria. Anaheshimika na watu wote kutokana na tabia yake ya kuwahi sana ofisini, unadhafu na ukimya wake.
Leo nimewahi sana kufika ofisini kwa kuwa nilikuwa nimetokea muhimbili kumuona mgonjwa.
Nilichokishuhudia, mheshimiwa huyu nimemkuta ****** akichota mikojo yake na kunawa usoni. Aliponiona alishtuka sana, akaniambia ana safisha nyota na kujikinga na uchawi ambao wabaya wake wamekuwa wakimtupia.
Jamani, kumbe vyeti sio ufahamu.
Nimecheka sana leo.
Leo nimewahi sana kufika ofisini kwa kuwa nilikuwa nimetokea muhimbili kumuona mgonjwa.
Nilichokishuhudia, mheshimiwa huyu nimemkuta ****** akichota mikojo yake na kunawa usoni. Aliponiona alishtuka sana, akaniambia ana safisha nyota na kujikinga na uchawi ambao wabaya wake wamekuwa wakimtupia.
Jamani, kumbe vyeti sio ufahamu.
Nimecheka sana leo.