Wewe ni member wa Saccos ya Mb
owe na baba mkwe wake.
Sina maana hutakiwi kumchangia member mwezetu ila sio kwa unafiki.
Kuna Chama kinasajiliwa bila kua na Ofisi?Yaani wewe umchangie mtu anamiliki kampuni yake. Badala ya kuchangia chama chako ambacho hakina hata ofisi.
Hongera kwake ni haki yakeJamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
Stupid question.Kuna Chama kinasajiliwa bila kua na Ofisi?
Huenda Kabendera akatangaza Nia kupitia Chadema ila Sijui Jimbo gani...tehtehtehSiku na huyu Mheshimiwa Pascal Mayalla akitia nia sehemu yoyote ile kupitia CCM mnishtue ili niweze kumchangia chochote kwenye hiyo safari yake ya matumaini.
Huyu hapa Manyerere JacktonJackton Manyerere ni nani hasa ? Napenda kujua zaidi
Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
Siku na huyu Mheshimiwa Pascal Mayalla akitia nia sehemu yoyote ile kupitia CCM mnishtue ili niweze kumchangia chochote kwenye hiyo safari yake ya matumaini.
Kwani anao wangapi?Baba yake yupi?
Jifunze kuandika kiswahili vizuri kwanza "Unamjuaau " ndo nini?
acha na maandishi jibu swali, hiki kifaa ninachotumia kina shida naweeza kuwa najua kuandika kuliko ukoo wako wote bwege wewe.
Wanatia Aibu sana kama huyo Dada hapo juu.Hao ndiyo majuha wa lumumba, wamepewa visimu tu kisa kukipigania chama kwenye uchaguzi huu wa October
Daa..mwamba umeniangushaa...hujui kuandika..ebu rudia tena kuandika hapo..nime muuliza baba yake na huyo mtia nia anamjua au kaandika tu kwa kuwa ana simu na bado, hiki kitendea kazi changu kina shida kidogo.
Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
Daa..mwamba umeniangushaa...hujui kuandika..ebu rudia tena kuandika hapo..
Whaaaaaaaaat!!! I said this the power of Dr Slaa will be seen after 3 years......Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.