The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Watu wanaunda vikundi ili waweze kusaidia wakati wa matatizo yeye bado analeta ukabila!! Mtu akifiwa yeye kama kiongozi wa serikali ameshawachangia nini ili angalau kama ni kusafirisha maiti au watu tu wa kukodi gari ili wafike msibani!
Watu wanaanzisha makundi mazuri ili tu waweze kujiendeleza! Namshngaa sana huyu jamaa kwa sababu hata serikali sasa hivi inavikundi mbalimbali
Watu wanaanzisha makundi mazuri ili tu waweze kujiendeleza! Namshngaa sana huyu jamaa kwa sababu hata serikali sasa hivi inavikundi mbalimbali