Manumba alazwa ICU Aga Khan

Why not kama wao wanaua watu kama wadudu? Let them die may be other goons will learn a lesson. I will be happy to hear that this boss of killers is dead. Mie nawakilisha watu kama Mwangosi. Sina jema na hawa polisi hata wakifa wakubwa zao wote I don't care. Sina huruma hata na serikali hata wafe wakubwa zake wote it won't move me. Wakipungua tunapata ahueni. Nadhani watu wengi wanaogopa kuonyesha hisia zao ima tokana na woga au unafiki.
We mshikaji wangu wewe sometimes duh! yaani uko serious kabisa
 
Kwani yeye haruhusiwi kwenda appolo?

inategemea na malengo yao kama wanataka apone ama afe maana wameshajifunza ukimuwahisha apollo anapona sasa dawa ni kumchelewesha..hata hivyo mwache atangulie ili Mwangosi afurahie..malipo ni hapa hapa usipokufa kwa bomu utakufa kwa BP au malaria
 
Nisivyo na imani na magamba, nahisi kama haumwi kuna mchezo wanacheza hapa. Daah, pole kwa wahusika lakini.
 
Why not kama wao wanaua watu kama wadudu? Let them die may be other goons will learn a lesson. I will be happy to hear that this boss of killers is dead.

yaani mawazo yangu na yako juu ya hili tuko pamoja na kama ningekuwa daktari ning'esha mmalizia..
 

Watu wanapiga jaramba nafasi mbaya zaidi msaidizi wake ni mgonjwa zaidi ya miezi mnne sasa hayupo ofisini
 

Naamini kwenye Job Description ya Raisi, hakuna kipengele cha kila siku kuacha kazi na kutembelea mgojwa. Inawezekana kiubinadamu ukafanya hivyo, lakini lisiwe ndio moja ya majukumu ya raisi. Vinginevyo kumbe uraisi ni kazi rahisi kiasi hicho!!!!!????
 
Tumechoka kusikia "hali ya manumba ni tete" sioni umuhimu wake unaomhalalisha kuwa hai mpaka leo tar19.01
 
Malaria inasingiziwa mno nadhani inafuatiwa na shinikizo la damu.
 
Father of all mimi ni shabiki wako. Hawa jamaa walikuwa tayari kutumia resource za watz ipasavyo kuchunguza issue ya Kamanda Barlow kwa haraka na kuimaliza lakini issue ya Dr Mwakyembe, Mwangosi, Prof Mwaikusa na Dr wa jumuiya ya madaktari wanazipotezea. Wanaleta ushabiki wa kisiasa kila mahali. What goes around comes around!
Akipandacho mtu ndicho atakachovuna!
Ukiua kisiasa utakufa kisiasa!

Leo hii familia za wenzetu zimeacha mayatima na wajane kwasababu mnazozijua wenyewe halafu nyie mkiugua mnataka tuwaombee???

Angalia watoto wa Mwangosi, Aliyeuwawa na Ditopile, Prof Mwaikusa wanalia usiku na mchana kwasababu ya hujuma na uchumia tumbo wenu.

Hii 2013 father of all hakuna kumremba mtu, ni mwaka wa uwazi na ukweli!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

kwani wewe una shule gani mwezetu.je dhamira haikusuti kumwombea mtu tena your fellow christian mauti.kwasababu tu anafanyia kazi kwenye serikali ya ccm.
Huh..wonder shall never end...yaani umeendekeza uchadema na siasa hadi utu umekutoka umekuwa na roho mbaya na ya kikatili hadi unafikia kuombea wagonjwa wafe.
Kha...!I feel sorry and ashamed to share the same planet with people like you.
 
Elungata acha uongo na vitisho vya kitoto. Umejuaje kuwa mimi ni christian? Kwa taarifa yako mie siyo dini yoyote ya kimamboleo. Simuombei kifo kwa vile anafanya kazi CCM au wapi. Nisemacho ni kwamba polisi wanaoua watu kama wadudu wakifa sawa tu. Mabosi wao na serikali inayohalalisha ukatili huu wakifa poa. Kama wewe ni mmojawapo uliye tu. Unaulizia elimu yangu ili ikusaidie nini? Kama ni kusoma nimesoma tu ndani ya Bongo na ng'ambo so what?
 

Elimu yake darasa la nne enzi za nyerere. Endelea bwana Elungata
 
Ampe Mungu Rushwa! Yeye wakati anatumika alijua hakuna siku atakayolala kitandani!Malipo ni hapa duniani....Nafikiri wale ambao hawakutendewa haki hivi sasa ni sherehe kwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…