Manumba alazwa ICU Aga Khan

hapa mdo utagundua jinsi gani watu wamechoka!!....mi nasubiri yaliyotabiriwa yatokee,niwe na tiki 2 moja baada ya lingine
 

Tatizo ni double standard kwenye sheria zetu ndio maana watu wanakuona wa ajabu. Polisi akiua hakuna anayelalamika wewe unamuomba mungu afanye kazi yake umeshakuwa mbaya!
 
Mbona hiyo picha inaonyesha vicheko na bashasha za Raisi na IGP au maana ya kichwa chini ni nini
Manumba kama atatangulia tutamkuta ni safari yetu wote na kama mkewe yupo amwite kiongozi wa kiroho atubu dhambi zake zote za kuamuru DR Ulimboka kuteswa na Mwangosi kuvurumishiwa marisasi tumboni na kuzikwa akiwa vipande vipande ,vinginevyo safari yake haitakuwa nyeupe atateseka sana bila ktubu dhambi hizo
 
Go Manumba go! Mwangosi will be happy to acclaim and receive you thither. Go Manumba and leave everything behind. Go and become a lesson that every soul will one day die. Kul nafsi dhalikatul mauti.

Umenena mkuu,kila nafsi itaonja mauti,wasidanganywe na dunia
 
ee mungu mbona unamchelewesha baba muondoe ili maovu na uonevu vipungue angalau kwa uchache
 

kama itatokea basi kwa utaratibu wetu, risasi zitapigwa, ni bora zikatumika siku hiyo au vinginevyo zingeweza kutumika kwa raia wasio na hatia
 
Wapo wengi wanaumwa si yeye tu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Huyu tumuombee apone ili arudi ofisini kwenda kukalia mafaili ya mafisadi na kuwakingia kifua wasishtakiwe? Nadhani hiyo hapana. Nadhani bora aanzishe mwendo huenda atakayepewa ofisi akasimamia haki.
 
Rais naye ni Daktari hivyo anakwenda mara kwa mara kushauriana na madaktari wenzake namna ya kumsaidia/kumwokoa mgonjwa! Kuna ubaya gani?
 
Jamani, hamna hata kijana shushushu wakutu tumia japo ka picha
 

kwani process za homecide investgation zinasemaje kwa kesi kama ya mwangosi,huyo alipigwa bomu la machozi mbele ya kandamnasi unahitaji uchunguzi gani tena wakati mambo yametokea mchana kweupe mbele ya watu na muuaji yuko ndani?hiyo ni open and shut case.
Ulimboka,huyu jamaa na mgomo wake umesababisha watu wengi kufa .hao watu wana jamaa zao hata kwahiyo alikua ameshakua target ya revenge.hata mimi ndugu yangu angepoteza life kwenye mgomo huo lazima ningekula platemoja na kinara wa mgomo.vilevile hapo kesi ipo mahakamani
 

Mkuu sio kila mtu akienda hospitali kumtembelea mgonjwa ama mazishi basi anapenda media imuandike. Kutembelea mgonjwa ama kuhudhuria mazishi sio kazi za kisiasa ama kutafuta umaarufu. Nenda kimya kimya mjulie hali mgonjwa ama mfiwa ondoka. sio lazima dunia ijue ( wafiwa na wagonjwa) ndio wanaotakiwa kuthamini ukarimu wako na si wengine.
 
Kwa vigezo gani wale waliomuua Kombe waliachiwa huru?ditopile alimtwanga mtu risasi hadharani polisi wakadai kuwa ilikuwa bahati mbaya kesi ikawa closed,muuza magazeti wa moro polisi wakadai ni unknown flying object imeruka yenyewe kutoka katikati ya watu na kumuua,ya Mwangosi bado ni mbegu,in short polisi kwa msaada wa ccm wanafanikisha mauaji ya raia wengi wasio na hatia,manumba ni mmoja wao,siwezi kuwa mnafiki kumwombea kheri mtu katili,kwani baada ya kupona na kutoka hospital yaweza kuwa zamu yangu kutwangwa risasai na vijana wake au hata yeye mwenyewe
 
Na mwona mtu na shemeji yake sisi wafipa watu waliooa sehemu moja tunawaita vitwazi ndo hao sasa na vicheko, bashasha na matabasamu......cheza wewe naDORAHA......Pole wewe gamba kubwa japo hatima yako iko kwa muumba sio sisi tunaoteseka kwa madudu yenu ya kuchelewesha mafaili ya mafisadi.....sasa ukipona tu ndio kazi unayopaswa kuanza nayo
 

Si rahisi kama unavyofikiria. Marafiki ndio hujuliana hali siyo maadui. Kama mgonjwa ni adui wa demokrasia ya nini kupoteza muda kumtembelea?
 
Mbona anachelewa kufa huyu mtu?...

tulia mkuu nasikia na yule wa takukuru hoi,subiri kesho utasia wa mahakama,mara wa tume ya uchaguzi,mara dereva wa jengo la kuzomea dodoma, hee utasikia mara nyapara mkuu ,,,,,,, haya mambo mungu anafomula yake ...kama u msomaji mzuri wa agano la kale katika maandiko matakatifu utaona jinsi mungu alivyotoa mapigo kwa farao(CCM) na bado akawapa(CCM) roho ngumu ili wasiamani kinachotokea ili utukufu wa mungu udhihirike.....sifa na utukufu ni kwako wewe mungu mkuu uliyehai....Amen!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…