Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Hua kuna Bange na Bhange sasa sijui mwenzangu anamaanisha ipi apo, pili isitoshe mie situmii aina yoyote ya kilevi

kuna watu wanataka kukuchafua mkuu manoah....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
huyo raia anapretend tu kwanza ni muharibifu wa mabinti wa jf na Erickb52 wake
Hujajua kuwa hao dada zenu ndio wanatuharibu nitonye ?
Yan wanaona sisi ndo burudani zao wakiwa na stress na sisi kwa kuwa tuna njaa lol tunawapokea tu ingawa kwa sasa tumeamua kufuata njia iliyo bora!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom