Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Eti Erickb52 umemuona Vin Diesel anachosema na sijui Filipo kama ana taarifa kuwa mkewe marejesho kuna mtu anampenda penda anaitwa Vin Diesel
Haya Mamndenyi uwe na ujasiri wa kupambana na nyumba ndogo za Vin Diesel na tabia yake ya kupenda penda
sweetlady uko wapi dear mekumiss wewe
Kila mmoja anakukana huku Mungi mara Vin Diesel mara Erickb52 mara Arushaone

Erickb52 na Mr Rocky mie simo kwenye umoja wenu wa penda penda group....niacheni na Mamndenyi wangu tujenge familia...nyie kazaneni kutanga tanga na njia....
 
Last edited by a moderator:
Eti Erickb52 umemuona Vin Diesel anachosema na sijui Filipo kama ana taarifa kuwa mkewe marejesho kuna mtu anampenda penda anaitwa Vin Diesel
Haya Mamndenyi uwe na ujasiri wa kupambana na nyumba ndogo za Vin Diesel na tabia yake ya kupenda penda
sweetlady uko wapi dear mekumiss wewe
Kila mmoja anakukana huku Mungi mara Vin Diesel mara Erickb52 mara Arushaone

Hajachoka vibuti...!
Amuulize TANMO atamuambia siri ya vibuti.
Ila we ni pendapenda Mr Rocky
Ulimpenda Yummy ukahamia kwa Dena Amsi then kwa sweetlady kwa Mamndenyi sina hakika ila kwa Kipipi ulitoswa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mzi.xixgkcwl.png


Mapenzi yangu kwa Mamndenyi ni ya ukweli kabisaaaaaaaaaaaaaa.....hebu tuache tutulie kwa amani...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom