Manji: Nchi yangu hainithamini


kwani waliijenga bure
 


Kama mtu mzima kama wewe unashindwa kujibu swali kuwa "JAMAL AKIZIKWA WAPI" Una kila dalili ya kuitwa jipu lazima tukupeleke kwa magufuli.....

,.......

Daud Balal ni Mtanzania aliezikwa Marekani.....

Mobutu ni Mkongo aliezikwa nchini Morroco

Jamal ni Mtanzania mwenye asili ya india aliezikwa INDIA...

Hivi huoni tofaut ya sentensi hizo tatu juu.... Huoni kweli??????
 
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga

Naamini husemi kweli na kama unadhani uko sahihi basi hujafanya utafiti wa kutosha mpaka ukafikia hitimisho hili.
 
Kaka Allen unajua zinahitajika kura ngapi za UKAWA ili meya apatikane??? CCM wako wachache.

Queen Esther

 

Nchi yake ipi? Tanzania? Ngoja nikae kimya

Kama anaisi kuthamini ni kupola maeneo ya wazi imekula kwake aende kwa wachotala wenzie huko uraia sio lazima awe mzaliwa aende wakamsajili mbele ya safar huko

Jipu litumbuliwe tuu

Hivi kuna vitendo vingapi vya uhujumu uchumi ambavyo amevifanya na amejaribu kufanya?! Yeye haithamini nchi yake.

magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga

tajaa kitendo hata kimoja alichohujumu

@Elli ndiyo Tanzania ni nchi yake kwani ana uraia wa nchi nyingine? Kuna tatizo la watu kuwaza kwamba wahindi siyo watanzania. Ni bahati mbaya sana!!

Ahame inchi,namjua kama mpigaji na mdhulumati ukifuatilia apeech ya mengi JPM hawezi muonea ivi ivi tuu kuna rafu apo.
Maana utajiri wote alionao ukiuliza kodi alipayo sasa ndo unaweza zimia

Uhindi wake ndio unaomponza maskini

Manji anachukiwa kwa kitendo chake cha kuipa pesa ccm ili inunue uchaguzi.
 
fanya kazi wewe..men mzima unafatilia nyumba za watu huoni aibu.. dah! sasa unataka wakajichanganye ili iweje?so u not 2 stay inside u refrain from evil? au hulijui hilo? sisi kazi yetu si ni zogo,majungu hatuna kazi nyingine ndiomaana hatuendelei

wewe ngombe jike unanifahamu vizuri uniambie hayo maneno yako ya heat period.
 
Siwi mbaguzi, lakini suala hili lazima serikali ya Magufuli iliangalie kwa umakini: Sehemu kubwa ya Utajiri wa Tanzania imeshikwa na Wahindi.

kama watu weusi hawajitumi na hawatumii akili wewe unategemea nini?
 

Hivi ni kwanini tunawakumbatia hawa wahindi? Tuwafukuze tyuuu waende kwao
 
Tukianza kuwaona watu wenye athiri ya bara la asia sio waTz tutaanza waona wa mikoa ya mpkan sio Tz mwishowe Tz sijui itabaki ya kina nani ?
 

Mkuu wakiambiwa kuondoka ondoka nao
 
kama ni mtanzania mbna kaweka wahindi kwnye kampuni zake
Makampuni ya weusi pia uajiri weusi, wachagga uajiri wachaga wengi, wamatumbi halikadhalika. Sijaona ajabu hapa na pia kumbuka si wahindi tu wanaoajiriwa, ninafahamu weusi wenzangu wengi wanaofanya kwenye makampuni ya unaowaita wahindi!
 

Huyu Manji naye ni JIPU anguje kutumbuliwa, si ndie aliyekuea dalali wa EPA kupitia Kagoda? Au anadhani tumesahau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…