Manji hakuondoka nchini au kuadhibiwa kwa "Upigaji"
Manji alishughulikiwa kwa beef personally kabisa na Magufuli.
In short Manji hakuwahi kuwa kiongozi wa serikali nchi hii, alipiga kwa kushirikiana viongozi wa serikali ambao wengine kila serikali inayoundwa wapo.
Magu angekuwa anamshughulikia Manji kwasababu za upigaji, asingemkaribisha Rostam Ikulu na angewadhibiti walioshiriki kula na Manji pia.
Sasa huwezi kudeal na Manji personally wakati wapigaji wengine kama yeye unafumba macho. Huo ni uonevu.
In short, kwa walalahoi ujio wa Manji ni faida kuliko hasara, kwasababu:
- Ajira
- Kodi
- Ununuzi wa mazao hasa Mbaazi na ufuta
Kuhusu UPIGAJI hata asipopiga yeye, UPIGAJI upo, watu WATAPIGA hata kama siyo Manji na wala hatutapata faida yoyote.
Suala la UPIGAJI lipo tu, whether Manji yupo au Hayupo.