Manji akibembelezwa 'tutapigwa' tena

Manji akibembelezwa 'tutapigwa' tena

Ucha ujinga wewe, Manji ana uwekezaji gani wakati anatumia hela anazokwapua kwenye mabenki na Nssf ambako ndio aliikokuwa anachuka mitaji!!! Mpaka leo hajarudisha madeni anayodaiwa na mabenki ikiwemo CRDB!!
Unaushahidi?
 
Manji mwizi ila MUME MWENZIE NA MAGUFULI MAYANGA CONSTRUCTION ALIYEJENGA UWANJA WA NDEGE CHATO BILA TENDA KUTANGAZWA YEYE NI MTAKATIFU?
MANJI MWIZI ILA ROSTAM AZIZ YUPO SAFI?
MANJI MWIZI ILA KINA KAKOKO, SABAYA NA MAKONDA NI WATAKATIFU?

Nchi ngumu sana hii.
 
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..

Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.

Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.

Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.

Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.

Si ajabu akadai hadi fidia..
Manji sio tatizo, tatizo ni 'mfumo'

Chini ya Chama Cha Ma... hata Mimi naweza kuwapiga vibaya mno
 
NSSF ndio kabisaaaa. Hakuna msafi.

  • Mbowe alikopa
  • CCM walikopa
  • Serikali imekopa
  • Zitto ( Enzi za Dau )
  • Manji
  • Wanasiasa wa CCM ?????

In short, NSSF ilikuwa ni pora chako mapema. Ndio maana sasa hivi inalipa wastaafu kwa kusuasua mno.
Kwa hio kwenye miaka 6 ya meko hizo pesa zilirudi?
 
Kuna maeneo namkubali Manji ..
Lakini kuhonga madiwani ili auziwe open spaces na mapori kama ya Nafco hilo nalipinga
The guy is just controversial. Hili halina ubishi. Ni mzuri sana kwenye ''kula na viongozi'' ili apate anachotaka. Ni suala la muda tu, tena sasa hivi mama Samia anavyoonyesha ''kosa'' la kuwanyenyekea, tutapata majibu.
 
Who cares after all-Hata wewe kama umeona loop hole mahali kwenye sheria za nchi wekeza tu utupige no problem.Ni wajibu wa serikali kuziba loop holes katika sheria na siyo mwekezaji.

Sisi waafrica tupo maskini na tutaendelea kuwa maskin as long as tutaendelea kuamini kila tajiri,mwekezaji au mwenye mafanikio ni jambazi.
Aiseeee [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Muhimu ni kurekebisha mifumo ya uadilifu na udhibiti.

Imagine, mtu anakwambia Manji alihonga madiwani apewe maeneo.

Madiwani wetu wenyewe tunawachagua kwa kupewa rushwa za pombe.

Sasa hapo utaona tatizo ni jamii nzima wala siyo Manji peke yake.

Sasa kama madiwani wanapokea rushwa kutoka kwa Manji wanawezaje kukataa rushwa kutoka kwa mtu mwingine ?
Nakubaliana na wewe. Tatizo ni linanzia kwa wapiga kura mpaka kwa viongozi. Manji yeye anatumia loophole la njaa na tamaa ya viongozi tu kufanikisha mambo yake. Sasa njia sahihi ya ku-deal na watu wa aina hii ni mkuu wa nchi kuwa makini. Ni suala la muda tu atafanya alichozoea.
 
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..

Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.

Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.

Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.

Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.

Si ajabu akadai hadi fidia..
Huyo mmoja akiwa mpigaji wala haiumi kuliko serikali yako yote kugeuka kuwa wapigaji na mbaya zaidi wanashirikiana nae hafanyi peke yake ili likibuma wakamatwe wote...........
 
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..

Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.

Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.

Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.

Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.

Si ajabu akadai hadi fidia..
Sema hivi kuendelea kutawaliwa na ccm tutaendelea kupigwa mpaka Kiama, kwa sababu waratibu wa wizi/ufisadi na uporaji ni ccm, huyo Manji mwenyewe ni mwana CCM
 
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..

Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.

Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.

Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.

Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.

Si ajabu akadai hadi fidia..
Kwani kama aliwapigeni mbona hamkumfunga zaidi ya kutaka kumtesa tu?
 
Back
Top Bottom