HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,287
- 103,480
Amekuibia nini?Manji ni mwizi na tapeli mkubwa na hili halina kifocho.
Amekuibia nini?Manji ni mwizi na tapeli mkubwa na hili halina kifocho.
Arudi ManjiNiseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Mkuu huwa nakukubali Ila hii Hoya std 7Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Huyu haitaki laki/yule anaifata kwa basi-roma mkatolikiAjira za elfu3 per day siyo?
Nchi hii wajinga na mandezi hamtoisha kamwe