Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,247
Jamaa anatabia sawa na za mwendazakeAcha chuki na wawekezaji mkuu, jifunze kutoka kwa walifanikiwa.
Jamaa anatabia sawa na za mwendazakeAcha chuki na wawekezaji mkuu, jifunze kutoka kwa walifanikiwa.
Hao ndiyo wachawi wa TanzaniaWewe ni Mtanzania halisi hutaki kila kitu. Alipobanwa na Magufuli hukupenda. Amerudishwa na aliyepo bado pia hupendi.
Sasa hivi ndiyo keshaitwa na serikali iliyopo madarakani na hutaki jitie kitanzani.Manji ni mwizi na tapeli mkubwa na hili halina kifocho.
Chuki na husuda maana wengi wao bado wapo kwenye ndoto za kumuenzi mfadhili wao jiweKakutapeli nini? Thibitisha hapa
Hii nchi ina watu wapumbavu SanaAcha chuki na wawekezaji mkuu, jifunze kutoka kwa walifanikiwa.
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Hutaki kufa tu maana huna faidaManji aliwapiga mpaka waislamu viwanda vyao,eti ye apewe katikati ya mji kiwanja afu atoe maekari na maekari nje ya mji Daah,anavyorudi mmmhh
Mbona mliwanunua madiwani na wabunge ?Kuna maeneo namkubali Manji ..
Lakini kuhonga madiwani ili auziwe open spaces na mapori kama ya Nafco hilo nalipinga
Wewe ni ndumila kuwili na unaonekana ni mojawapo ya wanao itakia Tanzania kufeli badala ya kupaaaOngea Kwa ushahidi weka hapa nilipinga kipi na wapi na lin?
Upo sahihiWho cares after all-Hata wewe kama umeona loop hole mahali kwenye sheria za nchi wekeza tu utupige no problem.Ni wajibu wa serikali kuziba loop holes katika sheria na siyo mwekezaji.
Sisi waafrica tupo maskini na tutaendelea kuwa maskin as long as tutaendelea kuamini kila tajiri,mwekezaji au mwenye mafanikio ni jambazi.
Kama awamu ya tano imeongoza kwa ufisadi wakati Manj yupo nje .Amefariki Magufuli tu, ule mitandao wake wa wizi bado upo serikalini na ndani ya CCM, hivyo ni swala la muda tu mjiandae kisaikolojia.
Umechangia point kubwa sanaKama Manji angekuwa Mpigaji basi Magufuli angepata sababu nzuri za kumfungulia mashitaka kwa hilo.
Ukiona hajafunguliwa mashitaka ya ufisadi ujue yuko safi au kuna loophole kaitumia kupiga hela na hiyo tujilaumu wenyewe
Mpuuzi wewe jiangalieHii nchi ina watu wapumbavu Sana
You are such a fool
Umemuelewa mleta hoja?
Watasema wewe ni simba lakini kiukweli alikwiba sana!Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Jiangalie aiseeMpuuzi wewe jiangalie
Nakuunga mkono manMkuu, Kwa nchi yangu hii, mwenye kuelewa ulichosema ni wachache mno, ni wale tu wanaotamani siku waione nchi hii ikiwa kwenye viwango Bora vya maendeleo kama zilivyo nchi nyingine huko.
Lakini Kwa wenginewengi, hawatataka kufahamu ni kivipi atatupiga na kivipi upigaji huo unaathiri vipi huduma za kijamii na Kwa vizazi vijavyo, watafurahia tu kupata vibarua ili mkono uingie kinywani. Na ndiyo wengi hao,
Ninamashaka na Elimu yetu hasa ya uraia kama imetusaidia kama taifa
Ni kichocho!Kifocho ndio nini?
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..