Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Roho mbaya na visasi.Chuki na husuda maana wengi wao bado wapo kwenye ndoto za kumuenzi mfadhili wao jiwe
Roho mbaya na visasi.Chuki na husuda maana wengi wao bado wapo kwenye ndoto za kumuenzi mfadhili wao jiwe
Katika scenario hii, hivi tatizo ni la Manji au hao madiwani waliokubali kuhongwa..??Kuna maeneo namkubali Manji ..
Lakini kuhonga madiwani ili auziwe open spaces na mapori kama ya Nafco hilo nalipinga
Kauli yangu ni mtazamo kuhusu mtizamo wa jumla wa waTz. Hawakupenda alivyotiwa adabu na Magu na bado pia wana mashaka na ujio wake wa pili sababu ya wingu linalozunguka jina lake kuhusiana na tuhuma kadha wa kadha. Kumbuka marehemu Mengi alivyojitoa muhanga kuweka wazi uchafu wa jamaa kwenye dili za mfuko wa hifadhi. Nadhani nchi hii ni ya kuitazama tu sababu mtu kama Magu alijitoa kudhibiti hili ila mwisho wa siku watu walimuona kuwa ni rais mkandamizaji (hili hata wewe umo nimesoma maandiko yako). Sasa tukae mkao wa kusikilizia mara paap kadai Coco Beach yake na kadhalika na kadhalika.Ongea Kwa ushahidi weka hapa nilipinga kipi na wapi na lin?
Ndo maana magufuli alikuwa kiongozi wa hovyo Sana. Badala ya kujenga mifumo yeye alikuwa anaendekeza one man show utafirikiri ameagana na MunguAmefariki Magufuli tu, ule mitandao wake wa wizi bado upo serikalini na ndani ya CCM, hivyo ni swala la muda tu mjiandae kisaikolojia.
Wakati mwingine nyamaza wakati wakubwa wakiongeaAcha chuki na wawekezaji mkuu, jifunze kutoka kwa walifanikiwa.
Subiri ya sethi na Rugemalira wake atakavyotukamuaNiseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Manji ni mpigaji sana siyo kidogo. Huyu amewaliza sana wazee wetu na matreka yake mabovu aliyoyauza kwa bei kubwa sana. Huyu ameshirikiana na wezi wengi sana wa awamu ile. Na hicho kiwanja cha kigamboni alitaka kukiuza kwa bei kubwa serikalini. Kama alivyofanya lile jengo lake pale nyerere road ambalo alinunua kwa bei cheee akaja wauzia shirika la hifadhi ya jamii kwa bei juu na yeye kukaa pale bure.... Huyu ni jambazi na wanamrudisha wenzie waendelee kupiga naye.Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Yaani we jamaa ndio wale ukisikia jirani yako Kalala njaa unafurahia, usione furaha mwenzako anapoteseka au kuteswa sababu tu amekuzidi kipato, kuhusu kupiga sio sababu ya kumuwekea mizengwe,kila mtu hapa nchni ni mpigaji kwa namna yake, tumetofautiana viwango tu vya upigaji.Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Sethi na Rugemalira ni siasa tu za kafara na uonevu.Subiri ya sethi na Rugemalira wake atakavyotukamua
Ajira za elfu3 per day siyo?Unajua manji alikua ameajiri watu wangapi kabla ya kufurushwa??
Acha chuki za kifala kama ulikua ushajimilikisha baadhi ya assets zake jiandae kuzitapika.
All in all manji ni mtanzania
Hahhaahaaa,hii nchi aisee daaah kwa hyo nao wameonewa!!Sethi na Rugemalira ni siasa tu za kafara na uonevu.
Huwezi kumkamata Rugemarila kwasababu tu yeye pesa zake aliamua kuwagawia watu wake hadharani kupitia Mkombozi Bank halafu wengine wote waliogawana pesa kupitia Stanbic Bank mpaka leo imebaki kuwa SIRI kubwa.
Escrow wapigaji wako uraiani wanadunda.Hahhaahaaa,hii nchi aisee daaah kwa hyo nao wameonewa!!
Daaah Escrow kumbe ilikua sawa!!!hahahaaa
😂 😂 😂Wewe ni Mtanzania halisi hutaki kila kitu. Alipobanwa na Magufuli hukupenda. Amerudishwa na aliyepo bado pia hupendi.
Wazee wa escrow kuna jambo walimgomea nyapara thus akawasweka ndani.Alipoitisha hati ya msamaha yaani unatoa pesa kununua UHURU wako,wazee wakakomaa,heri kusimama kwenye haki kuliko kumsujudia shetaniEscrow wapigaji wako uraiani wanadunda.
Ccm bila dili haiwezekanikiManji alikula hata na CCM, alikuwa mfadhili mkuu, kwa wanaokumbuka alinunua jengo la NSSF na kulikarabati kisha kuliuza tena kwa bilions kwa hao waliomuuzia.
Ukweli Ni kwamba katika dili zake zote alishirikiana na wakubwa na sheria zikimlinda.
SijakuelewaNiseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..
Niseme Kwa ufupi sijui in details hasa yanayosemwa yalikuwa 'maovu ' ya Manji na sijui in details ni kiasi gani 'alionewa'..
Lakini kuna vitu najua kabisa Manji alishiriki 'kupiga ' nchi na alishirikiana na 'viongozi' wetu maeneo mbalimbali.
Pori la Nafco pale Kigambon ni eneo moja ambalo alilipiga akiwa amejiandaa 'kuiuzia tena ' serikali'. Kampuni yake moja ilipewa tenda mbalimbali za upimaji wa ardhi na kuwaweka 'mfukoni' madiwani karibu wote hadi kufanya kampeni ya kumchagua Didas Masaburi enzi hizo ili mambo yake yaende.
Inawezekana kuna maeneo 'alionewa'lakini kama kuna watu wanataka abembelezwe na 'kurudishiwa 'kila kitu basi watakuwa tayari 'kuruhusu '.
Tupigwe tena with revenge ..na watu aina ya Manji.
Si ajabu akadai hadi fidia..