Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,932
- 34,916
Muhimu ni kurekebisha mifumo ya uadilifu na udhibiti.
Asante mkuu kwa kukubali kwamba alishirikiana na.... Sasa tufanye nini kama nchi aisee, aitwe mzalendooo...! Au ni mwizi na anapaswa afanye biashara zake Kwa kufuata Sheria??
Imagine, mtu anakwambia Manji alihonga madiwani apewe maeneo.
Madiwani wetu wenyewe tunawachagua kwa kupewa rushwa za pombe.
Sasa hapo utaona tatizo ni jamii nzima wala siyo Manji peke yake.
Sasa kama madiwani wanapokea rushwa kutoka kwa Manji wanawezaje kukataa rushwa kutoka kwa mtu mwingine ?